Angejenga shule hata ya ufundi tu ingesaidia vijana wenzake ambao wanalegeza suruali na wanabana pua ila ndio hawatoki...wapate hata ufundi wa pikipiki tu uwasaidie kuanzisha maisha yasiyo tegemezi na yasiyo ya kuiga
tap! Tap! Tap! Tap!hapo nilipo-bold ndipo imani za dini nyingine zinatofautiana kwa mbali sanaaa na iman ya dini ya diamond.
Kwa kina diamond wanasema duniani kuna elimu za aina mbili
1- elim akhera
2-elimu dunia
na katika elimu zooote hizo mbili hiyoooo ya kwanza ndio inatakiwa ichukuwe asilimia mpaka 95 ya maisha ya mwanadamu...na elimu hiyo ndio inayotaka mtoto aende madrassat wakati wengine wanaenda nasariskul unamtaka akitoka shule ya kata aende masjid wakati wenzie wanaenda twishen na kujibu homework za jana..
inamtaka aki-feli la saba au form 4 aende kuwa mwalimu wa madrasa wakati wengine wanaenda private skul na kujiunga na vyuo vya ufundi stadi...
inamtaka kwa siku aende msikitini kuswali mara 5 na minimum time spend in swala ni 1hr which means atumie 5 hrs daily kuswali wakati wenzake wana-mwomba mungu wao kwa hardly 20mins na ni asubuhi na usiku kabla ya kulala.
Inamtaka akienda swallat jumuiya hiyo ijumaa asikilize mawaidha then waandamane wakati wenzao wakitoka kwenye ibada fasta wanawahi kufanya kazi...
pia inawataka waki-fel mtihani hata wa dini yao waandamane wamtoe mama ndalichako as if ukipata a- ya dini unakwenda chuo kikuu kosomea dini wakati hakuna course ya bachellor degree in dini yako.
Do the math-son as soon the math will solve their own problems coz they have now started to grow up and acts like adults
kwa taarifa yako kwetu elimu ndo mwanzo. Mana hata mtume wahy wake wa mwanzo aloshushiwa ilikua ni kusoma. Iqraa, maana yake soma. Na kwetu ss mcha mungu mwenye elimu ni bora zaidi kuliko aso elimu. Usije ukafkiri hii elimu mmeanza nayo nyinyi, ooyyyooooooounajua hawa wenzetu wana msemo wanadai dini kwanza mambo mengine baadaye, alafu baadaye wanalalamikia kwamba kuna mfumo kr...to unawafanya wasipate opportunities
mhu. Mna kasumba za ajabu nyinyi sijapata kuona. Sijui una ushahidi gani juu ya hilo. Mana wa kwetu wansoma shule, madrassa na tuition. Na wakiwepo home usiku ni revision ya kazi zao za shule. Acha dharau wewe, na chuki za kijinga.shule ni lazima iwe kuanzia primary(1 mpaka la 7)?......... Au secondary form 1 mpaka 4.... Kuna shule za awali na kuendelea hata sebule yako inatosha kusomeshea......
Watoto wengi wa kiislam si wote... Ukichukua takwimu hawajaenda shule za awali ..... Ukiangalia walikuwa wanaenda madrasa tu...unategemea nn akienda shulevhaelewi kitu... Mfano hai ninao tena hapa hapa mtaani kwetu
jogoo alitafuna punje ngap vile
hilo domo lako hapo nitalishona kwa kamba za viatu na kuliweka supa glu! umeniua mbavu nimechekaaaaaaaaaaaaaa!Wataswali hao ma-illumminati wenzake.
Ikiwa imepita mda sasa tangu alipogusia swala la kujenga msikiti, ambao utakuwa kumbukumbu yake kwa watakaoutumia, na ikiwa ni
njia moja wapo ya kurudisha katika jamii, Diamond amesema msimamo wake bado uko palepale.
"Sasa hivi mimi nina maeneo yangu, kwasababu ninapokuwa na hela mi nakuwa muoga sana kuwekeza najitahidi sana kununua nunua viwanja au kama hivi vijumba vidogo vidogo vya kuvunja maeneo tofauti tofauti.
Sasa hivi niko plani kwamba niujengee sehem gani, nitengeneze msikiti sehemu ambayo itakua ni nzuri,msikiti ambao hata kesho na kesho kutwa mi nikifa, mababu vizazi na vizazi viwe wanaswali pale kama msikiti ambao aliutengeneza kijana wetu Diamond.Watu wanaswalia, mi naamini itanipa baraka kubwa sana, na soon too naimani mwenyezi Mungu naimani atanisaidia, nitangeneza huo msikiti" amesema Diamond licha ya kuwa na plani ya kujenga mskiti huo.
Iliripotiwa kuwa kwa sasa ameshakamilisha ujenzi wa nyumba ya mama yake mzazi iliyogharimu zaidi ya shilingi za kitanzania milioni 260..
aendelee kujituma atafanikiwa zaidiThat's good idea bro diamond ana akili sema watu wengi wanawivu nae sijui kwa sababu walukuwa wanauza nae ice cream?hzo zote ni juhudi zake jaman fanyeni yenu na nyie muonewe wivu !
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Unajua hawa wenzetu wana msemo wanadai dini kwanza mambo mengine baadaye, alafu baadaye wanalalamikia kwamba kuna mfumo kr...to unawafanya wasipate opportunities
Nataka kulewa, nataka kulewa mama Sepetu mama, mama kidoti mama