Diamond Na Ally Kiba kwenye Twitter

Diamond Na Ally Kiba kwenye Twitter

Hayo yameandika kweli na Domo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
how could he STOOP SO LOW!!!!!!!!!!!!!!!!!

Ally Kiba kamjibu vizuri sana
ka amekopa ye yanamhusu nini!!!!!!!!!!!

We kweli kilaza yaan huyo tapeli anakuchota akili kiulainiii hata hustuki


In this world nothing is certain than Tax and Death.
 
Nimegundua humu jf kuna vilaza wengi sana sio wazee sio vijana


Ndio maana shigongo anatajirika, you cant read between the lines unasoma tu kama zuzu kisha una comment hata wewe Mamndenyi?


In this world nothing is certain than Tax and Death.
 
Hao n hackers,wana hack account za wasanii wakubwa kisha wanaandika hayo maneno ili kuipa promo hyo kampuni ya ukopeshaji..
 
kwenye ukurasa wa kala kuna web ya hiyo kampuni ya mikopo, kama vile haitoshi ukiangalia majibu ya alikiba anaiongelea kampuni mpaka anaonesha na link yake huu ni mchezo wa kutangaza kijanja biashara halafu nyie mnaishia kulumbana watu wamepiga hela ha ha ha wa tz bwana
 
Mimi nimeona kazi kukopi mambo yao ila uyo Diamond kashatoa majibu kuhusu hii ishu na Kiba huko Instagram kifupi kalalaminka anafutiliwa na wasanii wenzie na mboyoyo mingi kua wanamsema hana sauti na blah blah mtanisamehe alie interested akachungulie kule kule.
 
Mmmmmmh acha Uongo basi twita gani hii inaruhusu watu waandike maneno mengi hivi zaidi ya maneno 140...hii itakuwa facebook mjomba..

Watu Wamejibizana Wee ... Inaonekana Sio Watumiaji Wa Twitter... comment Yako ndo Nmeiona Ya maana Kulko zote... Twitter Hauwez Kuandika Habari Ndefu... Hyo N Kuitangaza Hyo Kitu Tuuuuu
 
Pia Faida Ya Wana Jf Ambao Hamjui Mambo Ya Technolojia ... Haiwezekani Kampuni Ya Mkopo Ishindwe gharamia Domain Name Kama .com au .org au.net af Wachukue Domain za Watoto.. Af Ni Domain za Simu sasa... Kuweni Makini Pia kwenye website ya Taasisi Ya Mikopo Kutakuaje na Matangazo ya tigo.. Na Pia Ucbrowezer...

AMKA MTANZANIA
 
Watu Wamejibizana Wee ... Inaonekana Sio Watumiaji Wa Twitter... comment Yako ndo Nmeiona Ya maana Kulko zote... Twitter Hauwez Kuandika Habari Ndefu... Hyo N Kuitangaza Hyo Kitu Tuuuuu

Nimeshangaa sana aisee twita hairuhusu barua ndefu kama hizi..
 
Nimeshangaa sana aisee twita hairuhusu barua ndefu kama hizi..

Hasa Kuna Blog Wamemuweka Na Huyu... Sjui Kweli?

Screenshot_2014-02-26-13-09-30.png
 
We kweli kilaza yaan huyo tapeli anakuchota akili kiulainiii hata hustuki


In this world nothing is certain than Tax and Death.

Ndio maana nilianza kujiuliza kama hayo maneno kaandika yeye............

halafu kama mimi ni KILAZA its my Business not yours
 
Ndio maana nilianza kujiuliza kama hayo maneno kaandika yeye............

halafu kama mimi ni KILAZA its my Business not yours

Basi yaishe we "Kichwa"


In this world nothing is certain than Tax and Death.
 
inasemekana Mtu kavimba Huko Instagram... Ndo Ubaya Wa Wabana Pua ... wana Majungu Kuliko Kuchanana Ukweli

Hasa anashindwa Kuelewa Kama Huu Ni Uzush wa Mablog

DIAMOND%252520STS%25255B4%25255D.jpg
 
Watu Wamejibizana Wee ... Inaonekana Sio Watumiaji Wa Twitter... comment Yako ndo Nmeiona Ya maana Kulko zote... Twitter Hauwez Kuandika Habari Ndefu... Hyo N Kuitangaza Hyo Kitu Tuuuuu

it make sense.
 
ALICHO POST DIAMOND KATIKA UKURASA WAKE WA TWITTER:

Nanukuu:

"Duh...! Nimesikia jamaa eti amejenga nyumba kafikia kwenye RINTA kashindwa kuimalizia kuficha aibu yake ameamua kujiunga
na ile taasisi inayotoaga mikopo isiyokua na RIBA inayoendeshwa na RIDHIWANI KIKWETE. Hii inaonesha muziki umekukataa dili zimebuma
shows zimekata mapesa yamekimbia. Duh Pole sana SINGLE BOY ALI KIBARAZA"

HAYO NDIO MANENO ALIYOANDIKA MSANII DIAMOND KATIKA TWEETER. ALIKIBA AKAMJIBU KAMA IFUATAVYO:

Nanukuu:

"Yote Maisha ndugu yangu, kuna matajiri duniani wanapesa nyingi lakini wanapanga foleni kwenye mabank kuomba
mikopo sembuse mimi Ali Kiba?! Kweli sikatai nimejiunga na SOCIAL CREDIT COMPANY na nimekopeshwa kwa faida yangu mimi na maisha yangu wewe kinachokuuma nikitu gani mpakaunakosa chakupost unazungumzia maisha yangu? Huwa sipendi Scandle kwa sababu wewe nakujua unapenda Scandle na kujibizana mitandaoni hizo ni tabia zakike. Kumbuka haya maisha kuna leo nakesho, maisha ni mzunguko wa sifuri wote tunazungukia sehemu moja. Kama kimekuuma mimi kujiunga na kupewa mkopo au umeona nafaidi sana nawewe jiunge ingia katika hii tovuti http://socialcredit.wapka.mobi ujiunge, mikopo haijaandikwa apewe masikini, tajiri au mtu maarufu wote sawa duniani na mikopo ndio kimbilio letu masikini kama wewe mwenzetu unajiona tajiri sawa ila sipendi kua unanizungumzia. Peace & Love."

hamna bif hapo ni biashara tu wameambiwa waitangaze hio kampuni ya mikopo hamuoni hata ali kaweka link na pia diamond kaisifia haitozi riba
 
Twitter wanaruhusu more than 120 characters per tweet? Naona kama wanajibizana kwa story,something i believe you can't do huko Twitter!
Mleta post unatuingiza chaka?
 
Duh...hii mbona umeiwahisha, ungesubiri tarehe moja mwezi wa nne ingekuwa safi sana.

Any way..tumejua kumbe kuna taasisi ya mikopo isiyo na riba....ok nadhani lengo lako kwa kiasi fulani limetimia.....nitaitafuta.
 
ALICHO POST DIAMOND KATIKA UKURASA WAKE WA TWITTER:

Nanukuu:

"Duh...! Nimesikia jamaa eti amejenga nyumba kafikia kwenye RINTA kashindwa kuimalizia kuficha aibu yake ameamua kujiunga
na ile taasisi inayotoaga mikopo isiyokua na RIBA inayoendeshwa na RIDHIWANI KIKWETE. Hii inaonesha muziki umekukataa dili zimebuma
shows zimekata mapesa yamekimbia. Duh Pole sana SINGLE BOY ALI KIBARAZA"

HAYO NDIO MANENO ALIYOANDIKA MSANII DIAMOND KATIKA TWEETER. ALIKIBA AKAMJIBU KAMA IFUATAVYO:

Nanukuu:

"Yote Maisha ndugu yangu, kuna matajiri duniani wanapesa nyingi lakini wanapanga foleni kwenye mabank kuomba
mikopo sembuse mimi Ali Kiba?! Kweli sikatai nimejiunga na SOCIAL CREDIT COMPANY na nimekopeshwa kwa faida yangu mimi na maisha yangu wewe kinachokuuma nikitu gani mpakaunakosa chakupost unazungumzia maisha yangu? Huwa sipendi Scandle kwa sababu wewe nakujua unapenda Scandle na kujibizana mitandaoni hizo ni tabia zakike. Kumbuka haya maisha kuna leo nakesho, maisha ni mzunguko wa sifuri wote tunazungukia sehemu moja. Kama kimekuuma mimi kujiunga na kupewa mkopo au umeona nafaidi sana nawewe jiunge ingia katika hii tovuti http://socialcredit.wapka.mobi ujiunge, mikopo haijaandikwa apewe masikini, tajiri au mtu maarufu wote sawa duniani na mikopo ndio kimbilio letu masikini kama wewe mwenzetu unajiona tajiri sawa ila sipendi kua unanizungumzia. Peace & Love."

Ni scandal sio SCANDLE
 
Back
Top Bottom