Sinewy
JF-Expert Member
- Aug 20, 2012
- 367
- 170
Hili ni promo la la hyo taasisi ya ridhwani wadau stuken ...ilianza rugs na jide sasa mond na kiba
kwakua natumia sim sijaona sehemu ya ku like
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ni promo la la hyo taasisi ya ridhwani wadau stuken ...ilianza rugs na jide sasa mond na kiba
Hayo yameandika kweli na Domo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
how could he STOOP SO LOW!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ally Kiba kamjibu vizuri sana
ka amekopa ye yanamhusu nini!!!!!!!!!!!
inatakiwa aje heaven on desert kuthibitisha
Mmmmmmh acha Uongo basi twita gani hii inaruhusu watu waandike maneno mengi hivi zaidi ya maneno 140...hii itakuwa facebook mjomba..
Watu Wamejibizana Wee ... Inaonekana Sio Watumiaji Wa Twitter... comment Yako ndo Nmeiona Ya maana Kulko zote... Twitter Hauwez Kuandika Habari Ndefu... Hyo N Kuitangaza Hyo Kitu Tuuuuu
Nimeshangaa sana aisee twita hairuhusu barua ndefu kama hizi..
We kweli kilaza yaan huyo tapeli anakuchota akili kiulainiii hata hustuki
In this world nothing is certain than Tax and Death.
Ndio maana nilianza kujiuliza kama hayo maneno kaandika yeye............
halafu kama mimi ni KILAZA its my Business not yours
Watu Wamejibizana Wee ... Inaonekana Sio Watumiaji Wa Twitter... comment Yako ndo Nmeiona Ya maana Kulko zote... Twitter Hauwez Kuandika Habari Ndefu... Hyo N Kuitangaza Hyo Kitu Tuuuuu
ALICHO POST DIAMOND KATIKA UKURASA WAKE WA TWITTER:
Nanukuu:
"Duh...! Nimesikia jamaa eti amejenga nyumba kafikia kwenye RINTA kashindwa kuimalizia kuficha aibu yake ameamua kujiunga
na ile taasisi inayotoaga mikopo isiyokua na RIBA inayoendeshwa na RIDHIWANI KIKWETE. Hii inaonesha muziki umekukataa dili zimebuma
shows zimekata mapesa yamekimbia. Duh Pole sana SINGLE BOY ALI KIBARAZA"
HAYO NDIO MANENO ALIYOANDIKA MSANII DIAMOND KATIKA TWEETER. ALIKIBA AKAMJIBU KAMA IFUATAVYO:
Nanukuu:
"Yote Maisha ndugu yangu, kuna matajiri duniani wanapesa nyingi lakini wanapanga foleni kwenye mabank kuomba
mikopo sembuse mimi Ali Kiba?! Kweli sikatai nimejiunga na SOCIAL CREDIT COMPANY na nimekopeshwa kwa faida yangu mimi na maisha yangu wewe kinachokuuma nikitu gani mpakaunakosa chakupost unazungumzia maisha yangu? Huwa sipendi Scandle kwa sababu wewe nakujua unapenda Scandle na kujibizana mitandaoni hizo ni tabia zakike. Kumbuka haya maisha kuna leo nakesho, maisha ni mzunguko wa sifuri wote tunazungukia sehemu moja. Kama kimekuuma mimi kujiunga na kupewa mkopo au umeona nafaidi sana nawewe jiunge ingia katika hii tovuti http://socialcredit.wapka.mobi ujiunge, mikopo haijaandikwa apewe masikini, tajiri au mtu maarufu wote sawa duniani na mikopo ndio kimbilio letu masikini kama wewe mwenzetu unajiona tajiri sawa ila sipendi kua unanizungumzia. Peace & Love."
ALICHO POST DIAMOND KATIKA UKURASA WAKE WA TWITTER:
Nanukuu:
"Duh...! Nimesikia jamaa eti amejenga nyumba kafikia kwenye RINTA kashindwa kuimalizia kuficha aibu yake ameamua kujiunga
na ile taasisi inayotoaga mikopo isiyokua na RIBA inayoendeshwa na RIDHIWANI KIKWETE. Hii inaonesha muziki umekukataa dili zimebuma
shows zimekata mapesa yamekimbia. Duh Pole sana SINGLE BOY ALI KIBARAZA"
HAYO NDIO MANENO ALIYOANDIKA MSANII DIAMOND KATIKA TWEETER. ALIKIBA AKAMJIBU KAMA IFUATAVYO:
Nanukuu:
"Yote Maisha ndugu yangu, kuna matajiri duniani wanapesa nyingi lakini wanapanga foleni kwenye mabank kuomba
mikopo sembuse mimi Ali Kiba?! Kweli sikatai nimejiunga na SOCIAL CREDIT COMPANY na nimekopeshwa kwa faida yangu mimi na maisha yangu wewe kinachokuuma nikitu gani mpakaunakosa chakupost unazungumzia maisha yangu? Huwa sipendi Scandle kwa sababu wewe nakujua unapenda Scandle na kujibizana mitandaoni hizo ni tabia zakike. Kumbuka haya maisha kuna leo nakesho, maisha ni mzunguko wa sifuri wote tunazungukia sehemu moja. Kama kimekuuma mimi kujiunga na kupewa mkopo au umeona nafaidi sana nawewe jiunge ingia katika hii tovuti http://socialcredit.wapka.mobi ujiunge, mikopo haijaandikwa apewe masikini, tajiri au mtu maarufu wote sawa duniani na mikopo ndio kimbilio letu masikini kama wewe mwenzetu unajiona tajiri sawa ila sipendi kua unanizungumzia. Peace & Love."