Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Ukivaa hivyo unaonekana bonge la mtuHiyo ilikua mikato kipindi hicho
Kweli mkuu wajanja walikua wana tupia hivyoUkivaa hivyo unaonekana bonge la mtu
Hata mbuyu ulianza kama mchicha, nadhani kitu muhimu ni growth.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sitii neno lolote hapaView attachment 2365864
Aisee upo Boss wangu? 🤔Mbona ya juzi juzi tu hiyo? Yupo Mwasiti ,jamaa wa clouds TV yule alikuwa kwenye maigizo ya Late Ruge ,Namuona SEPENGA.
Aisee upo Boss wangu? 🤔
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji2][emoji2][emoji2] JF sihami[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sitii neno lolote hapaView attachment 2365864
Mambo ya minjingu huko. Maghayo kaka yangu anakusalimia.Boss nipo ,mambo ya porini kukata mkaa nakuwa nje ya internet.
😀😀😀kama kawaida yako kukata mkaaBoss nipo ,mambo ya porini kukata mkaa nakuwa nje ya internet.