Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi unajua maana ya kuwa balozi? Unatakiwa kuwatangaza hao waliokuchagua uwe balozi wao, bila show off inakuwaje jombaa!! Angalia Mond na PepsiKingKiba ni balozi wa kampuni nyingi sana ndani na nje ya nchi sema hapendagi tu show-off
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee baba Kama umepotea njia hizo kauli Ni za kumkejeli kiba Kama ujui kutokana na kauli zake za kusema apendi show off.Hapo jamaa amekejeli kiaina uwe muelewa.Hivi unaelewa maana ya kuwa balozi wa kitu we jamaa, kuwa balozi ni kutangaza bidhaa au kampuni au kitu kilicho lengwa kwa watu wako kutokana na ushawishi ulio nao katika jamii Sasa unaposema hapendi show off sijakuelewa kabisa Sasa anatangazaje hizo kampuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama uwelewi asilimia kubwa wanaosema Kiba apendi show off si mashabiki wa kiba,na mshabiki wa kiba hawawezi kuongea hizo kauli unazaona Ni za kumkejeli Alikiba wanatumia Kama nukuu na hiyo imekuja Ni pale Alikiba aliwahi kusema alikuwa na record label hapo zamani mtangazaji akamuuliza mbona atujawahi kuisikia kiba akajibu sipendi show off ndo maana ukuisikia, mtangazaji ikabidi acheke tokea hapo hiyo kauli imetumika Kama kumkejeli Alikiba ndomaana unaweza ukasikia kiba Ni tajili number 1 Tz kuliko hata mo Ila apendi show offhuo ndio utetezi wenu "hapendangi ku-showoff".
hivi kweli let say uwe balozi wa kampuni X inayotengeneza viberiti halafu hupendi watu waone kwenye kurasa zako za mitandao ya kijamii?. hizo akili matope?.
utatangaza vipi product za kampuni husika bila watu kuona.
ukweli ni kwamba, kiba hana lolote.
Mzee baba hao wanamkejeli Alikiba Kama uwelewi vizuri.Hivi unajua maana ya kuwa balozi? Unatakiwa kuwatangaza hao waliokuchagua uwe balozi wao, bila show off inakuwaje jombaa!! Angalia Mond na Pepsi
Hiyo ndio sifa ya mfalme wetu, hata mkimpa matangazo yenu msimamo wake ni uleule kutopenda show-off, kama hamtaki tangazeni wenyeweHivi unaelewa maana ya kuwa balozi wa kitu we jamaa, kuwa balozi ni kutangaza bidhaa au kampuni au kitu kilicho lengwa kwa watu wako kutokana na ushawishi ulio nao katika jamii Sasa unaposema hapendi show off sijakuelewa kabisa Sasa anatangazaje hizo kampuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye yupo bize na MO fayaa!!
Anakunywa peke yake na kina Tony fleva,
Hataki watu waonje utamu wa MO faya
Zisije zikaisha ndio maana hajazipeleka madukani.
MKUU WEWE NI MGENI NINI? WANAPOSEMA HAPENDI SHOW OFFS WANAMAANISHA KUWA HUYO KIBA NI MBURURAAAAAAA YAN HAJIELEWI KWA KIGEZO KUWA HAJIONESHI KUMBE HANA HATA HICHO CHA KUMFANYA AJIONESHEhuo ndio utetezi wenu "hapendangi ku-showoff".
hivi kweli let say uwe balozi wa kampuni X inayotengeneza viberiti halafu hupendi watu waone kwenye kurasa zako za mitandao ya kijamii?. hizo akili matope?.
utatangaza vipi product za kampuni husika bila watu kuona.
ukweli ni kwamba, kiba hana lolote.
takatakaKama uwelewi asilimia kubwa wanaosema Kiba apendi show off si mashabiki wa kiba,na mshabiki wa kiba hawawezi kuongea hizo kauli unazaona Ni za kumkejeli Alikiba wanatumia Kama nukuu na hiyo imekuja Ni pale Alikiba aliwahi kusema alikuwa na record label hapo zamani mtangazaji akamuuliza mbona atujawahi kuisikia kiba akajibu sipendi show off ndo maana ukuisikia, mtangazaji ikabidi acheke tokea hapo hiyo kauli imetumika Kama kumkejeli Alikiba ndomaana unaweza ukasikia kiba Ni tajili number 1 Tz kuliko hata mo Ila apendi show off
hapo sawaMKUU WEWE NI MGENI NINI? WANAPOSEMA HAPENDI SHOW OFFS WANAMAANISHA KUWA HUYO KIBA NI MBURURAAAAAAA YAN HAJIELEWI KWA KIGEZO KUWA HAJIONESHI KUMBE HANA HATA HICHO CHA KUMFANYA AJIONESHE
Darassa mbona yupo vizuri ila ana kosa Management basi ngoma ya mziki ni kubwa sana ila haijapushiwa sana na hii I like it bonge la nyimbo,hata ukiangalia ktk channel kubwa za kimataifa inapata airtime ya kutosha.The day artists kama Alikiba, Aslay, Marioo, darasa n.k with their own style of singing wakitambulika kama international artists that's the day tunaeza kusema mziki wetu umeenda international.
Apart from that bongo fleva ni mziki wa nyumbani tu.
Hili ni tatizo la kusimamiana kishikaji sabab hascan ndo anamsimamia darasa sasa hapo tutajiuliza je hascan anauelewa gani kwenye maswala ya usimamizi wa wasaniiDarassa mbona yupo vizuri ila ana kosa Management basi ngoma ya mziki ni kubwa sana ila haijapushiwa sana na hii I like it bonge la nyimbo,hata ukiangalia ktk channel kubwa za kimataifa inapata airtime ya kutosha.
Mtoa mada hujui mziki Mondi na Harmonize wanaimba taste za kinaijeria ambazo wanaijeria walizipigania na zimefanikiwa ndiyo maana unahisi Mond na Harmonize wamefanikiwa ndiyo wamefanikiwa kwa kuimba taste za watu wengine Alikiba anakomaaa na bongo fleva na uwezo wa Alikiba ndiyo uwezo wa bongo fleva.
Honestly bongo fleva haijapga hatua saaaan ndiyo maani Alikiba hajapiga hatua
Kuhusu matangazo Alikiba alisema matangazo yanakuj tatizo Bei
Sent using Jamii Forums mobile app