Diamond na Harmonize wampe somo AliKiba

Diamond na Harmonize wampe somo AliKiba

Hili ni tatizo la kusimamiana kishikaji sabab hascan ndo anamsimamia darasa sasa hapo tutajiuliza je hascan anauelewa gani kwenye maswala ya usimamizi wa wasanii

Sent using Jamii Forums mobile app
Swali zuri sana hilo la kumuuliza Hanscana, kama ikiwezekana Darassa aongee na Seven yule demu yupo vizuri na mziki wa Afrika anaujua sana,anaweza akampush mpaka level za juu.

Hanscana atamchelewesha.
 
Darassa mbona yupo vizuri ila ana kosa Management basi ngoma ya mziki ni kubwa sana ila haijapushiwa sana na hii I like it bonge la nyimbo,hata ukiangalia ktk channel kubwa za kimataifa inapata airtime ya kutosha.

Sure mkuu nakumbuka "mziki" hadi darasa alipata nominations za tuzo za Nje. Na Bongo fleva yake Hiyo Hiyo. Management na support kutoka kwenye mamlaka husika ndo zinatuangusha wabongo.

Sasa Kuna wasanii kwa kujua au kutokujua wanatuaminisha kuwa ili uwe wa kimataifa lazima ufanye collabo na watu wa Nigeria. At the end wanaijeria wanatucheka na kutushangaa.
 
Swali zuri sana hilo la kumuuliza Hanscana, kama ikiwezekana Darassa aongee na Seven yule demu yupo vizuri na mziki wa Afrika anaujua sana,anaweza akampush mpaka level za juu.

Hanscana atamchelewesha.

Sure mkuu. Au labda Hanscana awe local manager alafu Seven awe kwa upande wa international.

Wakorea wanatumia Sana Hiyo mbinu mkuu. Unakuta wasanii kama BTS wana ma-manager wa ndani ya nchi na Unakuta management ingine iko Abroad mfano Columbia records labda ila zote zinasukuma kazi za msanii.
 
samahani wadau ktk kipindi hiki cha mfungo lakini lazima niseme;

mashabiki wa diamond ni washamba na waswahili sana......na wengi wao inaonekana ni wacheza vigodoro (wapenda matusi matusi na ni kama wachawi wachawi hiviii). diamond amewajua na ndo maana anahakikisha ktk nyimbo zake nyingi maneno km 'nikusafishe mtaro', 'panua nikupachike rungu', 'nionyeshe hicho alichokupa mama' n.k yanakuwepo ili kuwakamata hawa waswahili.....ikumbukwe, dunia hii 'watwana' ni wengi kuliko 'waungwana'. msishangae kuona kelele niyiingi kwa kila kitu afanyacho diamond, waswahili mtawaweza wapi kwa kelele......hawajui maana nyingine ya muziki zaidi ya kuruka ruka na kutukana. na msishangae kwa kupondwa kwa kila kitu afanyacho alikiba; waswahili utawaweza wapi kwa kuchamba na umaskini jeuri! great thinker atanielewa hapa.

siwezi kuzungumzia sana kuhusu hayo masuala ya mikataba na makampuni mbalimbali lkn nijuacho ni kuwa kila mtu na namna yake ya kuishi.....kiba aliibuliwa na muziki na anaendeleza muziki wake mpaka sasa, ndio chanzo chake kikuu cha ugali. waswahili wanakesha kumuombea mabaya lakini yupo tu.

tuache hayo, hivi mnajua kuwa Diamond anaisikiliza 'Dodo' kwa kwenda mbele?!!! na sijui kama haitopigwa nyimbo hiyo siku ya harusi yake. utapiga nyimbo gani zaidi?
 
Write your reply...ile mofaya walimlazimishaga tu lakini halikuwa hataki kabisa kujionyesha kama ni balozi si mnajuaga tena mfalme wetu hapendagi show off
 
Mtoa mada hujui mziki Mondi na Harmonize wanaimba taste za kinaijeria ambazo wanaijeria walizipigania na zimefanikiwa ndiyo maana unahisi Mond na Harmonize wamefanikiwa ndiyo wamefanikiwa kwa kuimba taste za watu wengine Alikiba anakomaaa na bongo fleva na uwezo wa Alikiba ndiyo uwezo wa bongo fleva.

Honestly bongo fleva haijapga hatua saaaan ndiyo maani Alikiba hajapiga hatua

Kuhusu matangazo Alikiba alisema matangazo yanakuj tatizo Bei

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok akae apo apo tu pamemtosha

Binafsi ningemshauri kiba kwa sasa afanye mziki for fan tu sio for biashara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo unaposema "matangazo mengi yanakuja tatizo bei "

Mkuu bei kama za matangazo ya benki, makampuni ya simu, vinywaji n.k ni ndogo kiasi hicho? Hujui kwamba unapopata tangazo ambalo linakutambulisha kwako pia inakuwa platform ya kusikika zaidi.

Makampuni yanaangalia mtu ambaye amechangamka na anafuatiliwa hawawezi kumpa tangazo mtu ambaye ni mzembe na hana jitihada.

Hiyo kauli ya kusema matangazo hayana bei ni kauli za mkosaji

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Fact

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kamwambie, Mbagala, Nataka kulewa, Moyo wangu, Lala salama, Nitarejea, Binadamu wabaya, Nitampata wapi, Kesho, My number one, Mapenzi basi, Utanipenda.

Nikweli anaimba matusi now days kwaajili yetu ss waswahili na indeed tuna enjoy, but ata nyie wastaarabu sio kwamba amewatupa kuna vitu konki hvo api visivo chuja, kazi kwako..
samahani wadau ktk kipindi hiki cha mfungo lakini lazima niseme;

mashabiki wa diamond ni washamba na waswahili sana......na wengi wao inaonekana ni wacheza vigodoro (wapenda matusi matusi na ni kama wachawi wachawi hiviii). diamond amewajua na ndo maana anahakikisha ktk nyimbo zake nyingi maneno km 'nikusafishe mtaro', 'panua nikupachike rungu', 'nionyeshe hicho alichokupa mama' n.k yanakuwepo ili kuwakamata hawa waswahili.....ikumbukwe, dunia hii 'watwana' ni wengi kuliko 'waungwana'. msishangae kuona kelele niyiingi kwa kila kitu afanyacho diamond, waswahili mtawaweza wapi kwa kelele......hawajui maana nyingine ya muziki zaidi ya kuruka ruka na kutukana. na msishangae kwa kupondwa kwa kila kitu afanyacho alikiba; waswahili utawaweza wapi kwa kuchamba na umaskini jeuri! great thinker atanielewa hapa.

siwezi kuzungumzia sana kuhusu hayo masuala ya mikataba na makampuni mbalimbali lkn nijuacho ni kuwa kila mtu na namna yake ya kuishi.....kiba aliibuliwa na muziki na anaendeleza muziki wake mpaka sasa, ndio chanzo chake kikuu cha ugali. waswahili wanakesha kumuombea mabaya lakini yupo tu.

tuache hayo, hivi mnajua kuwa Diamond anaisikiliza 'Dodo' kwa kwenda mbele?!!! na sijui kama haitopigwa nyimbo hiyo siku ya harusi yake. utapiga nyimbo gani zaidi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
samahani wadau ktk kipindi hiki cha mfungo lakini lazima niseme;

mashabiki wa diamond ni washamba na waswahili sana......na wengi wao inaonekana ni wacheza vigodoro (wapenda matusi matusi na ni kama wachawi wachawi hiviii). diamond amewajua na ndo maana anahakikisha ktk nyimbo zake nyingi maneno km 'nikusafishe mtaro', 'panua nikupachike rungu', 'nionyeshe hicho alichokupa mama' n.k yanakuwepo ili kuwakamata hawa waswahili.....ikumbukwe, dunia hii 'watwana' ni wengi kuliko 'waungwana'. msishangae kuona kelele niyiingi kwa kila kitu afanyacho diamond, waswahili mtawaweza wapi kwa kelele......hawajui maana nyingine ya muziki zaidi ya kuruka ruka na kutukana. na msishangae kwa kupondwa kwa kila kitu afanyacho alikiba; waswahili utawaweza wapi kwa kuchamba na umaskini jeuri! great thinker atanielewa hapa.

siwezi kuzungumzia sana kuhusu hayo masuala ya mikataba na makampuni mbalimbali lkn nijuacho ni kuwa kila mtu na namna yake ya kuishi.....kiba aliibuliwa na muziki na anaendeleza muziki wake mpaka sasa, ndio chanzo chake kikuu cha ugali. waswahili wanakesha kumuombea mabaya lakini yupo tu.

tuache hayo, hivi mnajua kuwa Diamond anaisikiliza 'Dodo' kwa kwenda mbele?!!! na sijui kama haitopigwa nyimbo hiyo siku ya harusi yake. utapiga nyimbo gani zaidi?
Nyakati zimebadilika nae anatakiwa abadilike mfano mond angekua nae anaimba kama zamani nani angekua anaijua Tz ? Msanii wenu amefeli kwenda na ushindani wa soko la kimataifa hilo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi naona management yake ya sasa ni ya kiswahili pia. Seven mosha alikua anam lead Kimataifa ndio maana mliona anapata show nyingi nje ya nchi . Huyu manager wake wa sasa ni mswahili sana na ndie atakae muongoza kiba shimoni penye ukweli tutasema. Juzi juzi viewera walivyokua wanapungua youtube kwenye wimbo wa dodo fasta manager aka post ooh watu tunafanya kazi mwimngine anakuja kuchezea kazi yamtu baadae mwenye akaja post tena oooh youtube wanapitia viewers ko watarudi tu kama walivyokua sijawahi ona seven kupost utumbo yeye alikua ki kazi zaidi

Seven mosha mpk leo kwenye pinned post yake twitter kaweka siku kiba alivyo lamba dili la sony music lakin huyu manager wa sasa pinned post kaweka biashara yake ya nguo za mtumba.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada hujui mziki Mondi na Harmonize wanaimba taste za kinaijeria ambazo wanaijeria walizipigania na zimefanikiwa ndiyo maana unahisi Mond na Harmonize wamefanikiwa ndiyo wamefanikiwa kwa kuimba taste za watu wengine Alikiba anakomaaa na bongo fleva na uwezo wa Alikiba ndiyo uwezo wa bongo fleva.

Honestly bongo fleva haijapga hatua saaaan ndiyo maani Alikiba hajapiga hatua

Kuhusu matangazo Alikiba alisema matangazo yanakuj tatizo Bei

Sent using Jamii Forums mobile app
Sizitaki mbichi hizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama uwelewi asilimia kubwa wanaosema Kiba apendi show off si mashabiki wa kiba,na mshabiki wa kiba hawawezi kuongea hizo kauli unazaona Ni za kumkejeli Alikiba wanatumia Kama nukuu na hiyo imekuja Ni pale Alikiba aliwahi kusema alikuwa na record label hapo zamani mtangazaji akamuuliza mbona atujawahi kuisikia kiba akajibu sipendi show off ndo maana ukuisikia, mtangazaji ikabidi acheke tokea hapo hiyo kauli imetumika Kama kumkejeli Alikiba ndomaana unaweza ukasikia kiba Ni tajili number 1 Tz kuliko hata mo Ila apendi show off
Kwanini umetoa siri ya kambi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada hujui mziki Mondi na Harmonize wanaimba taste za kinaijeria ambazo wanaijeria walizipigania na zimefanikiwa ndiyo maana unahisi Mond na Harmonize wamefanikiwa ndiyo wamefanikiwa kwa kuimba taste za watu wengine Alikiba anakomaaa na bongo fleva na uwezo wa Alikiba ndiyo uwezo wa bongo fleva.

Honestly bongo fleva haijapga hatua saaaan ndiyo maani Alikiba hajapiga hatua

Kuhusu matangazo Alikiba alisema matangazo yanakuj tatizo Bei

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa mada hujui mziki Mondi na Harmonize wanaimba taste za kinaijeria ambazo wanaijeria walizipigania na zimefanikiwa ndiyo maana unahisi Mond na Harmonize wamefanikiwa ndiyo wamefanikiwa kwa kuimba taste za watu wengine Alikiba anakomaaa na bongo fleva na uwezo wa Alikiba ndiyo uwezo wa bongo fleva.

Honestly bongo fleva haijapga hatua saaaan ndiyo maani Alikiba hajapiga hatua

Kuhusu matangazo Alikiba alisema matangazo yanakuj tatizo Bei

Sent using Jamii Forums mobile app
hiv umeelewa kweli kinachosemewa apo juu? na mashaka na uwezo wako Wa kufikiri
 
King anabebwa na fans na ndo mtu aliekuwa ananufaika zaidi na ule upinzani na Simba kabla ya Tembo kuja kuchukua nafasi yake
 
Back
Top Bottom