Diamond na Mafikizolo kuandika rekodi nyingine Afrika

Diamond na Mafikizolo kuandika rekodi nyingine Afrika

Diamond ndio msanii bora kabisa kwa sasa Africa. Imagine Mafikizolo wako over excited kufanya nae kazi sio kitu kidogo. Kwa kweli hana mpinzani Africa kapokea kijiti cha P square.
 
Mtoa mada kuna sehemu umesema Video ya Make me sing ilivunja record ya kutazamwa huko South Africa unamaanisha inaizidi hii ya Tchelete?

vv.png
 
Collabo ya Diamond na Mafiizolo ambayo inatoka hivi aribuni mwezi huu inategemewa kumfikisha mbali zaidi Diamond.

13007251_263472587329866_8972150145464689161_n.jpg


Kwa mtazamo wangu hii video na wimbo kwa ujumla itaweka rekodi mpya ya views kwenye youtube na Tvs, rotation kwenye radio za afrika na shows kubwa zaidi kuendelea kumwandama Diamond. Kumbukeni wimbo wa make me sing aliofanya na AKA umeandika rekodi ya kutazamwa na watu wengi zaidi huko Afrika Kusini kwa muda mfupi tangia itoke ni rekodi ambayo haikuwai kutokea SA.

13043532_263472647329860_5006869278488691128_n.jpg


Big up kwa Dangote tunategemea makubwa zaidi kutoka kwako haswa tukiona jinsi Mafikizolo wanavyoipa uzito hii ngoma tofauti kabisa na kawaida yao. Endelea kututangazia BongoFleva.

13043278_263472603996531_9031741637690901866_n.jpg


12994345_263472597329865_6149245384682264724_n.jpg


Ivi lugumi ndo nani

Na ishu ya mkataba wake na jeshi la polisi ingefikia wapi ningependa kujuzwa
 
Chibbu atakuwa mtu wa tuzi sana, yuko fit sana.
 
Acheni huyu Dai ashine tu jmn,he's soo humble
mlinda tembo ana hashuo sana,siku moja nliangalia interview yake na Millard nliishia katikati
 
Wimbo wa make me sing kuna siku nilienda mmi shop pale masaki nikakuta mzungu anaucheza hui wimbo.....dah nikasema dogo kwa kweli unapendwa......nyimbo nzuri kwa kweli anajitahidi.
 
Mtoa mada kuna sehemu umesema Video ya Make me sing ilivunja record ya kutazamwa huko South Africa unamaanisha inaizidi hii ya Tchelete?

View attachment 339996
Hujaelewa mkuu!!
Ni hivi Katika nyimbo zote zilizowahi kutoka nchini SA hakuna nyimbo ambayo ilifanikiwa kupata views Million 1 YouTube ndani ya mda mchache tu wa siku 10.!! Make me sing ndio umekuwa wimbo wa kwanza kuweka rekodi hiyo SA
 
Back
Top Bottom