Diamond na Nandy miongoni mwa wasanii watakaohojiwa na Idris Elba

Diamond na Nandy miongoni mwa wasanii watakaohojiwa na Idris Elba

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
F66366C9-D2A8-4ADB-96DA-2925EB8402FE.jpeg


80B6E410-5FC8-4319-A35F-8C41B42CE085.jpeg


CEFAADC4-5D7A-4850-90B7-282D88D20BE8.jpeg
 
Naona mziki wetu unapiga hatua kubwa sana.Idris Elba Ni muigizaji mkubwa Sana duniani kuhojiwa na mtu Kama huyu ni hatua kubwa lakini nitoe pongezi kwa nandy kwa hatua aliyofikia si mchezo especially ukizingatia Ni mtoto wa kike.
 
' Nitoepokezi ' ni kilugha gan hiki mkuu..
Naona mziki wetu unapiga hatua kubwa sana.Idris Elba Ni muigizaji mkubwa Sana duniani kuhojiwa na mtu Kama huyu ni hatua kubwa lakini nitoepokezi kwa nandy kwa hatua aliyofikia si mchezo especially ukizingatia Ni mtoto wa kike.
 
Tatizo Ali Kiba hajui kizungu ndio maana hapendi show off za kuhojiwa na hao watu wa kutoka huko.
 
Back
Top Bottom