Na tuzo domo atapewa [emoji16][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lin vee money alisema kaacha mziki? Yupo likizo anafurahia mema ya uumbaji wa mola, then ataendelea na game km kawaida. Acha kupotosha weeeNandy mpambanaji sana. Sema ukiwa mpambanaji alafu ukajiingiza kwenye ndoa mapema lazma ulost tu. Akiruhusu ndoa na billnass mapema hivi ajue mapenzi yatazidi nguvu na kumpoteza kwenye muziki. Mwenzie v money kaacha mziki yupo bize na bologna.
Vanessa usimfananishe na nandy hat kidogo, hat nandy analijua hilo kuwa kaachwa miles nyingi na vee mapesa.Nandy anahojiwa kubalansi mzani toka ukanda huu! kimataifa nandy afrika mashariki hajakamata hata 3/10 ya soko! Na bahati imemuangukia kuwa angalau yeye ndiye msanii wa kike kidogo anasikika ndani east afrika kwa hiyo sehemu ndogo...
Simkubali Vanessa, sio shabiki wake ila yuko juu ya Nandy!
Anawakilisha kote kote, chezea uwezo weyeeeeeeeeeeeeeeeh.Vee money hizi ndio mambo zake sema tuu ameamua kutuwakilisha kimataifa kwenye dyu dyu la yuyuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiba kama CHADEMA nashangaa hajui kuimba ila jamaa macho yanawatoka nlidhani baada ya kondeboy kujitoa ndo atachukua hiyo nafasi ya kulinganishwa na mvaa vikuku kumbe bado Kiba anawaumiza kichwa...huyu jamaa anawanyima sana wana usingizi..na wanamfatilia to the extent Mr 0 following, nkajua mtataja NAVY KENZO,JUX nk bt bado KIBA?..hatar
unamanisha anafurahia mboo ??!Lin vee money alisema kaacha mziki? Yupo likizo anafurahia mema ya uumbaji wa mola, then ataendelea na game km kawaida. Acha kupotosha weee
Sent using Jamii Forums mobile app