herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 1,967
- 3,212
Mbona Alli kiba alihojiwa na Diva haikuwa habari kubwa kiivyo..?
Soon na sisi tutahojiwa na Idris sultan
Soon na sisi tutahojiwa na Idris sultan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaahha anaongezea nini sasa ..Naona mziki wetu unapiga hatua kubwa sana.Idris Elba Ni muigizaji mkubwa Sana duniani kuhojiwa na mtu Kama huyu ni hatua kubwa lakini nitoe pongezi kwa nandy kwa hatua aliyofikia si mchezo especially ukizingatia Ni mtoto wa kike.
Raia wa Afrika Kusini (RSA) ameishi Tanzania (Arusha, Dar es Salaam na Mwanza/Bukoba* not 100% sure) kwa muda mrefu pia Kenya na Uganda kwa muda mfupi.Sho majodzi sio mtanzania?
sio mTanzania ila Ashawai ishi Tanzania na Elimu ya msingi alisomea Tz anaijua vzuri sana mitaa ya Dar es salaamSho majodzi sio mtanzania?
HahahahhahahaMbona Alli kiba alihojiwa na Diva haikuwa habari kubwa kiivyo..?
Soon na sisi tutahojiwa na Idris sultan
Billnasi ajipange vizuri, sidhani kama simba (Diamond) atacha hiyo nyama (Nandy) ipite hivi hivi.
Nandy anahojiwa kubalansi mzani toka ukanda huu! kimataifa nandy afrika mashariki hajakamata hata 3/10 ya soko! Na bahati imemuangukia kuwa angalau yeye ndiye msanii wa kike kidogo anasikika ndani east afrika kwa hiyo sehemu ndogo...Naona mziki wetu unapiga hatua kubwa sana.Idris Elba Ni muigizaji mkubwa Sana duniani kuhojiwa na mtu Kama huyu ni hatua kubwa lakini nitoe pongezi kwa nandy kwa hatua aliyofikia si mchezo especially ukizingatia Ni mtoto wa kike.
Kwani unajua Leo kiba kwenye interview Ni zero Kuna kipindi nyuzi nyingi ziliazishwa na wadau kuhusu interview za alikiba kuwa miyeyusho.Nilisikiliza interview ya alikiba juzi kwenye XXL,jamaa zero kabisa..yaani hajui kujielezea kabisa..sasa angeenda huko kuhojiwa kimombo si ingekuwa kasheshe
Vee money hizi ndio mambo zake sema tuu ameamua kutuwakilisha kimataifa kwenye dyu dyu la yuyuuu
Sent using Jamii Forums mobile app