Diamond na Wasafi Media ni wanyonyaji sana

Diamond na Wasafi Media ni wanyonyaji sana

Huyu Mtoa mada ni mbumbumbu,hapo ukute hiyo laki 4 Anayopewa iyobo yeye hajawahi kuishika na bado anaishi kwakudandadanda masikini.Tafuta pesa nawe uwanyonye watu kama unavyodai mondi mnyonyaji kima wewe
Jonijo kaondoka nilijua lazima aondoke siku 1.

Pale Wasafi unachukua mshahara na huruhusiwi kuwa na YouTube channel, Jonijo alikuwa ana YouTube channel, sasa ameingia WASAFI akajua labda ataendeleza harakati zake akakutana don'ts nyingi ambazo hazipo kwenye Mkataba,. Times FM alipokuwepo Jonijo na Lil Ommy unaweza kuanzisha YouTube channel. Pale Mishahara midogo, wanapewa mishahara mikubwa ni wachache sana wengine wote uzushi tu, kajamaa kanajifanya kanasaidia jamii wakati hakalipi watumishi wake. Angalia hata wakina Iyobo ni maskini sana, kwa kazi wanazofanya bado wanalipwa laki 5 wengine 4.

Harmonize aliondoka kwa upuuzi kam huu, Msanii anapiga show analipwa asimilia 40 ya show, kwa kigezo eti tulikutoa. Mapato ya You tube unapewa 40 percent. Harmonize youtube yake tu aliingiza zaidi ya Millioni 900 za kitanzania lakini hata millioni 100 hakulamba kwenye YouTube, ukibsha naweka ushaidi.

Kituko kingine Rayvanny alitangaza anaenda nyumbani kwao mbeya kupiga show kwa kiingilio cha elfu 5..Diamond akatangaza Mbeya kiingilio bure..Unaambiwa gharama zote za Mbeya kuanzia uwanja..wasanii kuwalipia kila kitu amekatwa Rayvanny zaidi ya millioni 150. Yaani nitangaze show ya kiingilio uje useme ni bure then gharama zote akalipa Rayvanny.

Usione wasanii wa Wasafi wapo hivyo, hawana hela. Hivi unajua kwenye views millioni 1 za YouTube unapata km millioni 4.5 had -7.

Diamond umelalamika sana Ruge anakuonea mbona wewe hupigi nyimbo za Harmonize. Unasema Harmonize hapeleki nyimbo kwenu, vipi hao wakina Burna Boy wanapeleka nyimbo Wasafi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jonijo kaondoka nilijua lazima aondoke siku 1.

Pale Wasafi unachukua mshahara na huruhusiwi kuwa na YouTube channel, Jonijo alikuwa ana YouTube channel, sasa ameingia WASAFI akajua labda ataendeleza harakati zake akakutana don'ts nyingi ambazo hazipo kwenye Mkataba,. Times FM alipokuwepo Jonijo na Lil Ommy unaweza kuanzisha YouTube channel. Pale Mishahara midogo, wanapewa mishahara mikubwa ni wachache sana wengine wote uzushi tu, kajamaa kanajifanya kanasaidia jamii wakati hakalipi watumishi wake. Angalia hata wakina Iyobo ni maskini sana, kwa kazi wanazofanya bado wanalipwa laki 5 wengine 4.

Harmonize aliondoka kwa upuuzi kam huu, Msanii anapiga show analipwa asimilia 40 ya show, kwa kigezo eti tulikutoa. Mapato ya You tube unapewa 40 percent. Harmonize youtube yake tu aliingiza zaidi ya Millioni 900 za kitanzania lakini hata millioni 100 hakulamba kwenye YouTube, ukibsha naweka ushaidi.

Kituko kingine Rayvanny alitangaza anaenda nyumbani kwao mbeya kupiga show kwa kiingilio cha elfu 5..Diamond akatangaza Mbeya kiingilio bure..Unaambiwa gharama zote za Mbeya kuanzia uwanja..wasanii kuwalipia kila kitu amekatwa Rayvanny zaidi ya millioni 150. Yaani nitangaze show ya kiingilio uje useme ni bure then gharama zote akalipa Rayvanny.

Usione wasanii wa Wasafi wapo hivyo, hawana hela. Hivi unajua kwenye views millioni 1 za YouTube unapata km millioni 4.5 had -7.

Diamond umelalamika sana Ruge anakuonea mbona wewe hupigi nyimbo za Harmonize. Unasema Harmonize hapeleki nyimbo kwenu, vipi hao wakina Burna Boy wanapeleka nyimbo Wasafi?
Mkuu bila kujali umeandika ukweli au uongo ,we ni mwandishi mzuri Sana , unastick kwenye point moja Kwa moja , ujumbe mfupi lakn umebeb content zote za mhimu ulizo kusudia kuziweka , kuna Mwingine akiandika Kona Kona nying , mara misemo kibao , ukurasa mrefu point unaiokota okota mwishoni , yaan kero kubwa , big up Sana mkuu
 
Kuwa serious mkuu mil900 kupitia youtube ujue si mchezo....
 
Hata wapiga ngoma wana kanuni zao
Ni jukumu lako kukubali au kukataa kufanya kazi wasafi
Kuna kampuni zingine ukikutwa tu umefungua internet unafukuzwa kazi
 
Jonijo kaondoka nilijua lazima aondoke siku 1.

Pale Wasafi unachukua mshahara na huruhusiwi kuwa na YouTube channel, Jonijo alikuwa ana YouTube channel, sasa ameingia WASAFI akajua labda ataendeleza harakati zake akakutana don'ts nyingi ambazo hazipo kwenye Mkataba,. Times FM alipokuwepo Jonijo na Lil Ommy unaweza kuanzisha YouTube channel. Pale Mishahara midogo, wanapewa mishahara mikubwa ni wachache sana wengine wote uzushi tu, kajamaa kanajifanya kanasaidia jamii wakati hakalipi watumishi wake. Angalia hata wakina Iyobo ni maskini sana, kwa kazi wanazofanya bado wanalipwa laki 5 wengine 4.

Harmonize aliondoka kwa upuuzi kam huu, Msanii anapiga show analipwa asimilia 40 ya show, kwa kigezo eti tulikutoa. Mapato ya You tube unapewa 40 percent. Harmonize youtube yake tu aliingiza zaidi ya Millioni 900 za kitanzania lakini hata millioni 100 hakulamba kwenye YouTube, ukibsha naweka ushaidi.

Kituko kingine Rayvanny alitangaza anaenda nyumbani kwao mbeya kupiga show kwa kiingilio cha elfu 5..Diamond akatangaza Mbeya kiingilio bure..Unaambiwa gharama zote za Mbeya kuanzia uwanja..wasanii kuwalipia kila kitu amekatwa Rayvanny zaidi ya millioni 150. Yaani nitangaze show ya kiingilio uje useme ni bure then gharama zote akalipa Rayvanny.

Usione wasanii wa Wasafi wapo hivyo, hawana hela. Hivi unajua kwenye views millioni 1 za YouTube unapata km millioni 4.5 had -7.

Diamond umelalamika sana Ruge anakuonea mbona wewe hupigi nyimbo za Harmonize. Unasema Harmonize hapeleki nyimbo kwenu, vipi hao wakina Burna Boy wanapeleka nyimbo Wasafi?
Kwani H. Baba mondi kakukosea nini!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mtoa mada ulicho kiandika hukijui ingekuwa kuwa na viewer 1,000,000 tu unapata mihela kama ulivyo andika wewe watu wengi wangekuwa matajiri humu
 
Wewe umezungumzia mahesabu mada yetu kuu inaeleza kuhusu 900 millions swali langu kwako unaamini Harmonize kapata hizo million 900?

Tusogee mbele hata kwa baba yake Diamond unaamini amewahi kupata hizo pesa kwa views tu?
Kama wamewahi sasa kwanini wanafanya show za bei rahisi hivyo ambazo kwa mwaka mzima wakifanya majumuisho haifiki hata robo ya million 900?
Umeandika unachofikiria wewe bila kuwa na data zozote.

Ulipaswa kuwekwa facts hapa
Kwanza mikataba yao,
Pili wanaingiza kiasi gani
Tatu wasafi inawekeza kiasi gani kwenye kazi za hao wasanii
Ili uweze kuevaluate kama kuna unyonyaji ama LA.

Vinginevyo ni kelele tu.

Pia unachanganya habari, haieleweki haswa unalenga nini??



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom