Umemmaliza kila kitu full stop Uzi ulitakiwa uishie hapa.Umeandika unachofikiria wewe bila kuwa na data zozote.
Ulipaswa kuwekwa facts hapa
Kwanza mikataba yao,
Pili wanaingiza kiasi gani
Tatu wasafi inawekeza kiasi gani kwenye kazi za hao wasanii
Ili uweze kuevaluate kama kuna unyonyaji ama LA.
Vinginevyo ni kelele tu.
Pia unachanganya habari, haieleweki haswa unalenga nini??
Sent using Jamii Forums mobile app
Question is Do you believe?Umeandika unachofikiria wewe bila kuwa na data zozote.
Ulipaswa kuwekwa facts hapa
Kwanza mikataba yao,
Pili wanaingiza kiasi gani
Tatu wasafi inawekeza kiasi gani kwenye kazi za hao wasanii
Ili uweze kuevaluate kama kuna unyonyaji ama LA.
Vinginevyo ni kelele tu.
Pia unachanganya habari, haieleweki haswa unalenga nini??
Sent using Jamii Forums mobile app
Wivu utakuuaJonijo kaondoka nilijua lazima aondoke siku 1.
Pale Wasafi unachukua mshahara na huruhusiwi kuwa na YouTube channel, Jonijo alikuwa ana YouTube channel, sasa ameingia WASAFI akajua labda ataendeleza harakati zake akakutana don'ts nyingi ambazo hazipo kwenye Mkataba,. Times FM alipokuwepo Jonijo na Lil Ommy unaweza kuanzisha YouTube channel. Pale Mishahara midogo, wanapewa mishahara mikubwa ni wachache sana wengine wote uzushi tu, kajamaa kanajifanya kanasaidia jamii wakati hakalipi watumishi wake. Angalia hata wakina Iyobo ni maskini sana, kwa kazi wanazofanya bado wanalipwa laki 5 wengine 4.
Harmonize aliondoka kwa upuuzi kam huu, Msanii anapiga show analipwa asimilia 40 ya show, kwa kigezo eti tulikutoa. Mapato ya You tube unapewa 40 percent. Harmonize youtube yake tu aliingiza zaidi ya Millioni 900 za kitanzania lakini hata millioni 100 hakulamba kwenye YouTube, ukibsha naweka ushaidi.
Kituko kingine Rayvanny alitangaza anaenda nyumbani kwao mbeya kupiga show kwa kiingilio cha elfu 5..Diamond akatangaza Mbeya kiingilio bure..Unaambiwa gharama zote za Mbeya kuanzia uwanja..wasanii kuwalipia kila kitu amekatwa Rayvanny zaidi ya millioni 150. Yaani nitangaze show ya kiingilio uje useme ni bure then gharama zote akalipa Rayvanny.
Usione wasanii wa Wasafi wapo hivyo, hawana hela. Hivi unajua kwenye views millioni 1 za YouTube unapata km millioni 4.5 had -7.
Diamond umelalamika sana Ruge anakuonea mbona wewe hupigi nyimbo za Harmonize. Unasema Harmonize hapeleki nyimbo kwenu, vipi hao wakina Burna Boy wanapeleka nyimbo Wasafi?
Sawa endeleeni na kuwa mashabiki maandazi
Propaganda zako kapeleke fb ndo mahala pake hili Ni jukwaa la great thinkersReactions from comments
1. Mashbaiki wengi wa diamond ni mashabiki maandazi yaani hamtaki jamaa yenu akosolewe, ushamba tu mmezidisha
2. naona watu wengi hamjui mapato ya youtube ya you tube yanavyopatikana, harmonize kafifkisha views zaidi ya millionn300..gawanya views kwa 1000 then zidisha na dollar 2 (4400) au 3 (6600) ni zaidi ya billioni 1. Poleni sana.
hivi mnajua Millard anaingiza zaidi ya billioni 3 kwa kwa mwaka kwa youtube tu.
Tunataka USHAHIDI,ambao wewe ulisema unao.Reactions from comments
1. Mashbaiki wengi wa diamond ni mashabiki maandazi yaani hamtaki jamaa yenu akosolewe, ushamba tu mmezidisha
2. naona watu wengi hamjui mapato ya youtube ya you tube yanavyopatikana, harmonize kafifkisha views zaidi ya millionn300..gawanya views kwa 1000 then zidisha na dollar 2 (4400) au 3 (6600) ni zaidi ya billioni 1. Poleni sana.
hivi mnajua Millard anaingiza zaidi ya billioni 3 kwa kwa mwaka kwa youtube tu.
Akikujibu nitag.Tunataka USHAHIDI,ambao wewe ulisema unao.
Alafi tuwekee na USHAHIDI wa MILLARD AYO.
Kwanza kabisa kaongea vitu ambavyo ajatoa ushahidi anazani jamiiforum sawa na fb.Wakiwa wanaingia hai watu huwa hawaioni hiyo mikataba? Au ni mpaka baadae ndo macho yanafunguka? ... kama kila kitu kipo kwenye mkataba kwann usikatae toka mwanzo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jonijo kaondoka nilijua lazima aondoke siku 1.
Pale Wasafi unachukua mshahara na huruhusiwi kuwa na YouTube channel, Jonijo alikuwa ana YouTube channel, sasa ameingia WASAFI akajua labda ataendeleza harakati zake akakutana don'ts nyingi ambazo hazipo kwenye Mkataba,. Times FM alipokuwepo Jonijo na Lil Ommy unaweza kuanzisha YouTube channel. Pale Mishahara midogo, wanapewa mishahara mikubwa ni wachache sana wengine wote uzushi tu, kajamaa kanajifanya kanasaidia jamii wakati hakalipi watumishi wake. Angalia hata wakina Iyobo ni maskini sana, kwa kazi wanazofanya bado wanalipwa laki 5 wengine 4.
Harmonize aliondoka kwa upuuzi kam huu, Msanii anapiga show analipwa asimilia 40 ya show, kwa kigezo eti tulikutoa. Mapato ya You tube unapewa 40 percent. Harmonize youtube yake tu aliingiza zaidi ya Millioni 900 za kitanzania lakini hata millioni 100 hakulamba kwenye YouTube, ukibsha naweka ushaidi.
Kituko kingine Rayvanny alitangaza anaenda nyumbani kwao mbeya kupiga show kwa kiingilio cha elfu 5..Diamond akatangaza Mbeya kiingilio bure..Unaambiwa gharama zote za Mbeya kuanzia uwanja..wasanii kuwalipia kila kitu amekatwa Rayvanny zaidi ya millioni 150. Yaani nitangaze show ya kiingilio uje useme ni bure then gharama zote akalipa Rayvanny.
Usione wasanii wa Wasafi wapo hivyo, hawana hela. Hivi unajua kwenye views millioni 1 za YouTube unapata km millioni
4.5 had -7.Diamond umelalamika sana Ruge anakuonea mbona wewe hupigi nyimbo za Harmonize. Unasema Harmonize hapeleki nyimbo kwenu, vipi hao wakina Burna Boy wanapeleka nyimbo Wasafi?
Reactions from comments
1. Mashbaiki wengi wa diamond ni mashabiki maandazi yaani hamtaki jamaa yenu akosolewe, ushamba tu mmezidisha
2. naona watu wengi hamjui mapato ya youtube ya you tube yanavyopatikana, harmonize kafifkisha views zaidi ya millionn300..gawanya views kwa 1000 then zidisha na dollar 2 (4400) au 3 (6600) ni zaidi ya billioni 1. Poleni sana.
hivi mnajua Millard anaingiza zaidi ya billioni 3 kwa kwa mwaka
Hiyo mikataba wanapewa na kukubaliana nayo kabla ama? maana kama mtu ulisoma ukaelewa na ukakubaliana na mkataba husika kwa nn ulalamike? Mleta mada nawewe pia unashindwa kuwa na fikra pevu. Maana ww unafikiri mtu kama zuchu angeweza kufikisha viewers kwa single video 1m, ama angeweza kutoa video zenye ubora ule… kampuni inagharamia mambo mengi sana. Msipotoshe watu kwa mambo ya kizushi.. Mtu kama harmonize unafikiri jina lake lingekuwa liko juu hivyo.. Nitajie msanii mmoja tu aliye nje ya wasafi ama chini ya management yoyote nyingine anayefanya vizuri Zaidi ya watu kama akina Mboso, Rayvanny, ama hata laval
Kwani Clouds ni music label? Hivi kwanini wote waliosikika kunyonywa/kutapeliwa sijawahi sikia wakienda kushitaki hizi kampuni mahakamani? Wanapataje haki zao?Clouds iliyochangamka iyo cause unatengeneza jina na umaarufu lakini mfukoni mtupu....
Shida wanaolaumu WASAFI wanasahau kuangalia LIFE BEFORE WASAFI na LIFE AFTER WASAFI plus uwekezaji waliofanya na ndio maana wanaona kama wanyonyaji wakati ukweli ni kwamba mtu alipoingia alikuwa hamna uhakika kama watatengeneza hela hivyo wanafanya uwekezaji then mtu anapata jina na kuanza kutengeneza hela ambazo kimsingi zinakuwa bado hazijarudishwa lakini wananzengo wanaishia kusema wanawanyonya.Wakiwa wanaingia hai watu huwa hawaioni hiyo mikataba? Au ni mpaka baadae ndo macho yanafunguka? ... kama kila kitu kipo kwenye mkataba kwann usikatae toka mwanzo?
Sent using Jamii Forums mobile app