Wanazingua, mbona Wema alikuwa anasema anamtumia SMS Diamond mara kwa mara wakati mama Mondi anaumwa. Halafu Leo wanasema hajawai kuwa Na namba yake.
Eh eh eh!Wanatuzuga. .
Kuna msemo usemao
Kuendelea kuwasiliana na X wako, ni sawa na kutumia muwa kama fimbo ya kutembelea, kuna siku tuu utakula huo muwa. .........
[emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanatuzuga. .
Kuna msemo usemao
Kuendelea kuwasiliana na X wako, ni sawa na kutumia muwa kama fimbo ya kutembelea, kuna siku tuu utakula huo muwa. .........