Diamond ndiye msanii tajiri zaidi kwa sasa Africa Mashariki

Umepewa mic unaitumia vibaya,muda si mrefu tutakuzimia.
 
Wapi mtoa mada ameandika kwamba Diamond anamzidi Kinyonga kwa kumiliki magari ya Kifahari..!?
Au ndio kujitoa ufahamu tu ili uthibitishe ile tetesi ya kwamba wanaJamhuri tunatumia 1% ya ubongo wetu..!?
Kaandika diamond amefatiwa na dr jose kamilioni,kasome vizuri m@m@
 
Wapi mtoa mada ameandika kwamba Diamond anamzidi Kinyonga kwa kumiliki magari ya Kifahari..!?
Au ndio kujitoa ufahamu tu ili uthibitishe ile tetesi ya kwamba wanaJamhuri tunatumia 1% ya ubongo wetu..!?
Kaandika, hazikuangaliwa pesa taslimu bank, bali mali mbali mbali anazomiliki[emoji53] [emoji53] [emoji53].
 
Nasubiri uthibitisho wa taarifa nimpongeze mdogo wangu. Ila ngoja nimpongeze hivyo hivyo sababu hata kama hajafikia huko angalau atakuwa anakaribia au kuzidi, Congratulations Nassibu, Ngote, platnenga, Almasi, Baba tee, [emoji4]
 
Mbona analalamika hiko kikodi cha milioni 250 kwa TRA, eti anasema aliwapiga tafu Sana kwenye kampeni, haiwezi kuwa sababi ya Ku free ride
 
Kaandika, hazikuangaliwa pesa taslimu bank, bali mali mbali mbali anazomiliki[emoji53] [emoji53] [emoji53].
Kweli mkuu...
Mtoa mada amesema wameangalia mali mbalimbali...
Lakini si magari ya kifahari pekee..!
Kama wakiangalia magari ya kifahari pekee nafikiri Kinyonga atakuwa juu,kwasababu yeye ana magari ya kifahari zaidi ya Diamond..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…