Diamond ndiye msanii tajiri zaidi kwa sasa Africa Mashariki

Diamond ndiye msanii tajiri zaidi kwa sasa Africa Mashariki

Jarida la Forbes la nchini marekani limetoa wasanii matajiri zaidi duniani ,Africa na kanda mbali mbali ambapo kwa upande wa Africa mashariki.

Diamond platinum ameongoza kwa kuwa na utajiri wa dollar million 4.5 ambazo ni zaidi ya bilioni 10 za kitanzania hasa baada ya kununua Nyumba yake ya south Africa.

Vitu vingine anavyomiliki ni Majumba ya kifahari Dar,Magari ya kifahari , Berber shop, Maduka ya nguo za mitindo ya kisasa na vingine Vingi.

Amefatiwa na Dr Jose Kamilioni wa Uganda ambaye anakadiliwa kuwa na utajiri wa dollar milioni 3.9 ... Wanafatia Akothee na Jaguar anashika nafasi ya 4

Wanachokiangalia zaidi sio pesa kwenye account Bali thamani ya vitu anavyomiliki.....

Katika jarida hilo linaonyesha diamond akiwa anafanya wastani wa show 2 kwa wiki show 8 kwa mwezi na show 100 kwa mwaka ambapo show yake ya chini anakadiriwa kulipwa wastani wa dollar elfu 20,000 na show ya juu analipwa wastani wa dollar elfu 75,000 .

Mikataba yake na makampuni kama Cocacola,Vodacom na DSTV

Jarida ilo linaonyesha pia diamond anaweza vaa vitu vyenye thamani ya dollar laki 150,000 ambazo ni zaidi ya milioni 350,000,000 za tanzania mwilini mwake kwenye shoo moja ambavyo ni Pete,cheni,viatu kofia,shati na suruali na vingine.

Kiukweli huyu mwenzetu yupo kwenye another level kabisa.

Ongera kwa diamond platinum na wapenda maendeleo wote wa nchi hii tuendelee kumsaport msanii huyu aweze kufika mbali zaidi....


Kwa hiyo, unataka tufanye nini sasa? Na wewe mleta mada unanufaikaje na utajiri wa Diamond? Wabongo bwana kwa ujinga, sijuwi watakuwa lini.
 
Mimi ni shabiki wa Diamond lkn kwa huu uzi naweza kuanza kumchukia maana sipendagi uongo na ujinga ujinga. Diamond ataanzia wapi kumzidi Jose Kamilioni au hata Jaguar? acheni upuuzi naona mmeanza kulewa sifa
 
Mimi ni shabiki wa Diamond lkn kwa huu uzi naweza kuanza kumchukia maana sipendagi uongo na ujinga ujinga. Diamond ataanzia wapi kumzidi Jose Kamilioni au hata Jaguar? acheni upuuzi naona mmeanza kulewa sifa
Kama ulikuwa ukitafuta sababu umeipata, mchukie sasa. Unasema Utadhani Diamond ndo kaipost hii habari.
 
Tunajivunia Tanzania kwa kijana wetu Diamond kufanya vizuri. Aongeze juhudi zaidi ili siku moja aje kuwa msanii namba 1 mwenye pesa Afrika nzima
 
Uongo sio jambo jema kabisa,unapata raha gani kudanganya maisha usiyo nayo hizi ndio roho za kifukara zilivyo
 
Jarida la Forbes la nchini marekani limetoa wasanii matajiri zaidi duniani ,Africa na kanda mbali mbali ambapo kwa upande wa Africa mashariki.

Diamond platinum ameongoza kwa kuwa na utajiri wa dollar million 4.5 ambazo ni zaidi ya bilioni 10 za kitanzania hasa baada ya kununua Nyumba yake ya south Africa.

Vitu vingine anavyomiliki ni Majumba ya kifahari Dar,Magari ya kifahari , Berber shop, Maduka ya nguo za mitindo ya kisasa na vingine Vingi.

Amefatiwa na Dr Jose Kamilioni wa Uganda ambaye anakadiliwa kuwa na utajiri wa dollar milioni 3.9 ... Wanafatia Akothee na Jaguar anashika nafasi ya 4

Wanachokiangalia zaidi sio pesa kwenye account Bali thamani ya vitu anavyomiliki.....

Katika jarida hilo linaonyesha diamond akiwa anafanya wastani wa show 2 kwa wiki show 8 kwa mwezi na show 100 kwa mwaka ambapo show yake ya chini anakadiriwa kulipwa wastani wa dollar elfu 20,000 na show ya juu analipwa wastani wa dollar elfu 75,000 .

Mikataba yake na makampuni kama Cocacola,Vodacom na DSTV

Jarida ilo linaonyesha pia diamond anaweza vaa vitu vyenye thamani ya dollar laki 150,000 ambazo ni zaidi ya milioni 350,000,000 za tanzania mwilini mwake kwenye shoo moja ambavyo ni Pete,cheni,viatu kofia,shati na suruali na vingine.

Kiukweli huyu mwenzetu yupo kwenye another level kabisa.

Ongera kwa diamond platinum na wapenda maendeleo wote wa nchi hii tuendelee kumsaport msanii huyu aweze kufika mbali zaidi....
Weka link tujisomee wenyewe acha maneno mob.
 
1476254317439.jpg
 
hapa Tanzania tu sio wa kwanza sembuse huko afrika mashariki

ebu tuletee utajiri Wa hawa viumbe wawili


masanja. mkandamizaji

ay
 
Naona siku hizi Tandale napo kuna Jarida linaitwa Forbes
 
Nyumba ya south $200,000 gari LA mtumba BMW X6 $ 20,000...kweliiiii
 
Back
Top Bottom