Diamond ni kutojua au umejiunga na dini hii mpya!?

Diamond ni kutojua au umejiunga na dini hii mpya!?

Anajipendekeza kwa Kanye West anafikiri Kanye ni sawa na Davido!
 
hilo ndilo sharti alilopewa na kanye ili apewe collabo, inabidi aitangaze dini ya kanye africa
 
Hata Simu yako unayopost nayo hii Thread founder wake ni Freemason
Sawa,ila ndio hadi ujumbe waniwekee?mfano,simu zitoke zinaitwa Freemason,siwezi nunua!Ila kampuni hiyo hiyo iziite labda Gx5,nitanunua!Issue hapa ni kuwa siwezi kununua kitu nikijua kabisa motive behind the words written on it inashabikia ushetani au kinyume na imani yangu
 
Lkn si kavaa 2 nguo. Kwan kuvaa ki2 ndo kumfatsha aliyezndua?? Mbna wa2 wanavaa nguo zna mafuvu. Au m2 anavaa nguo ina maneno ya ajabu. Sio kila ki2 ni kuchukulia negatively

Ndio maana mleta mada akauliza tu wala hajatoa conclusion kwa kumlaumu moja kwa moja.
 
Lkn si kavaa 2 nguo. Kwan kuvaa ki2 ndo kumfatsha aliyezndua?? Mbna wa2 wanavaa nguo zna mafuvu. Au m2 anavaa nguo ina maneno ya ajabu. Sio kila ki2 ni kuchukulia negatively
Basi na ww vaa nguo imeandikwa nakupenda shetan...hallah
 
Alipenda madoadoa yake na wala hakusoma imeandikwa nini wakati ananunua!
 
Hata ukivaa logo inayosomeka "Mimi ni mfuasi wa shetani" poa tu
Yeesuz pia ni nickname yake,huwa anajulikana kama "Ye" wengine huita yeezy na pia jesus ni jina huru kutumia coz watu wengi wanaitwa yesu tu koz ni jina ka majina mengine ila hawaitwi Yesu Christo. kama ilivyo jina la Muhammad.
 
Ni mavazi tu mbona kuna vijana masela mtaani wanavaa ma T-shirt yameandikwa "**** ME BOY" AM PREGNANT" na unakuta kalipendea maandishi yake au picha anadunda nalo sa sijui kama na maana ya hayo maneno kama wanaifahamu
Mimi kuna siku shemeji yangu alikuwa kavaa T-shirt iliyoandika "I'M PORNSTAR"
Aiseee nilijisikia aibu sana.
Halafu bonge la bishoo...dah!
 
Mimi kuna siku shemeji yangu alikuwa kavaa T-shirt iliyoandika "I'M PORNSTAR"
Aiseee nilijisikia aibu sana.
Halafu bonge la bishoo...dah!
Utajuaje labda ni kweli yy ni porn star!?
 
Yeesuz pia ni nickname yake,huwa anajulikana kama "Ye" wengine huita yeezy na pia jesus ni jina huru kutumia coz watu wengi wanaitwa yesu tu koz ni jina ka majina mengine ila hawaitwi Yesu Christo. kama ilivyo jina la Muhammad.
Yah Muhammad wapo lkn huwezi kukuta mtu anajiita Muhammad S.W.A
 
Mimi kuna siku shemeji yangu alikuwa kavaa T-shirt iliyoandika "I'M PORNSTAR"
Aiseee nilijisikia aibu sana.
Halafu bonge la bishoo...dah!
Haha usikute hiyo I'M hakuiona akajua ni PORNSTAR huwa wanabadilishaga hadi miondoko kwa kujiona wamevaa vizuri kumbe..
 
Mond mjanja sanaaaaaaaaaa
safiiiiiiiiiiiiiiii
 
85%-90% ya mavitu tunayotumia himu duniani yanatoka kwa hao hao tunaowaita freemasons(devil worshipers),
Kiukwel hatuwezi kuwaepuka kabisaaaaaa....
Natoa mfano: niliskiao pia coca cola ni hao hao kina freemason, sasa je ni wangapi tunatumia coca cola, wapi nike, wapi adidas, wangapi tunashabikia hizi timu za mipira zinazohusishwa na mambo ya kishetani.
Hawa jamaa ni UN-KWEPEKABLE
Hakuna kitu kama hicho ni Imani za kijinga tu.

Nikikuambia uthibitishe hayo utaweza?
 
Lkn si kavaa 2 nguo. Kwan kuvaa ki2 ndo kumfatsha aliyezndua?? Mbna wa2 wanavaa nguo zna mafuvu. Au m2 anavaa nguo ina maneno ya ajabu. Sio kila ki2 ni kuchukulia negatively
kwa taharifa yako nguo nyingi kwa dunia ya leo zinama Roho Kama hujui. Mkuu.
 
Back
Top Bottom