Diamond ni mchawi, achaneni naye!

Mond ni leval nyingine nimezunguka mataifa kadhaa lakini sehemu zote hizo nyimbo za mondi zinapigwa na ndo msanii pekee wanayemfahamu kutoka Tanzania.
 
toroka uje mjini,
Samahani mkuu Ni kweli aje ni nzuri ila zaid ya nyumbani kwako umeusikia wapi tena hiyo AJE? Napengine ata haipo kwenye playlist yako
 
Reactions: Qwy
Uchawi wake unamsaidia anaingiza pesa
Sio wachawi wa kutafutana usiku
Heri uchawi wake
 
Gazeti.... Hahahahahahaaaa
 
Kizuri chajiuza bro acha king avimbe anaijua thamani yake... Diamond acha ajitembeze anajijua pia mzee.. usifos B iwe A
 
Me nashangaa sn hizi story za kiba hamuwez diamond mwaka wa tano karibu miaka yote hiyo hamjampata anaemuweza mumshndanishe na huyo diamond??.. Kuna jux,Ben pol(king'ast mkomavu) barnaba,belle9 why always kiba?..NAONA KUNA TATIZO MAHALI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…