Diamond ni mfano Mzuri wa Kiongozi na Boss Mwema

heaven on desert

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2013
Posts
1,025
Reaction score
393

Ni zaid ya boss,siyo mtemi..ni rafik,ni kaka yetu, ni mshauri wetu, na siku zote anapenda aone tunafanikiwa,anatufanya tujione tunaweza kufanya hat yale tuliyojiona hatuwezi fanya. Siyo mkosoaji bali ni mwalimu tunapokosea, siyo tu boss bali is our good leader.

Long live, wasiomfaahamu vizuri, wacha waendelee kuongea na kuandika wasiyoyafahamu
 


Kwahiyo?

Inatupasa nini sisi?
 
We ni nani kijana?tukutambue kwanza!
 
Subiri kwanza,umesoma heading..kimekupeleka nini kuingia humu???

Ukituma post humu inawahusu wana JF wote ndo maana nikakwambia kwahiyo tufanye nini? Maana kuweka thread hapa lazima uwe na lengo nasi ndio maana kwa mara nyingine nakuuliza inatupasa nini?

Hapa jf kama kukufwata tungekuja huko kwa web yenu..

Halafu mtoto wa kiume jikubali kujipamba pamba waachie dada zako...
 
mapambo yapi unazungumzia
 
Shikamoo pesa yaani hata kama umemzid umri utamuita kaka mkubwa tu
 
We hujioni?

Kama umejaaliwa sura ngumu jikubali tu...

Acha mashauzi kama ya isha

hahaaaa.... you have a bitter reaction to bullshit.. huyu jamaa kidogo atatueleza eti diamond hajambi.
 
hahaaaa.... you have a bitter reaction to bullshit.. huyu jamaa kidogo atatueleza eti diamond hajambi.

Hawa dawa yao ni kuwapa makavu tu...

Anafikiri kila mtu simple mind kama yeye....
 
kesho tutaletewa diamondo hanyi wala hakojoi ,nya yake anakunyaga mleta post.
 
Mh jamani basii km ugomvi vile km unaona hayakuhusu au hayana umuhim na ww si ukae kimya tu kuliko hayo maneno magum mnayompa mwenzenu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…