heaven on desert
JF-Expert Member
- Jan 25, 2013
- 1,025
- 393

Ni zaid ya boss,siyo mtemi..ni rafik,ni kaka yetu, ni mshauri wetu, na siku zote anapenda aone tunafanikiwa,anatufanya tujione tunaweza kufanya hat yale tuliyojiona hatuwezi fanya. Siyo mkosoaji bali ni mwalimu tunapokosea, siyo tu boss bali is our good leader.
Long live, wasiomfaahamu vizuri, wacha waendelee kuongea na kuandika wasiyoyafahamu