Diamond ana ubongo gani wa kunifunza leadership style Mimi?
Umekazana na povu mi siwezi tokwa povu kwa wajinga hata siku moja....
Ningekuelewa kama ungerefer hizo sifa zilizosemwa kama unakubaliana nazo au la lakini unaposema siwezi jifunza lolote kutoka kwa Diamond ni kwamba unakubaliana na mimi kuwa unaemchukia ni Diamond na siohizo sifa zilizotolewa. Sasakama huwezi kujifunza kutoka kwa Diamond kuna haja gani ya kufungua thread inayomuhusu?Ushauri wa bure, acha kufungua thread zinazomhusu Diamond, maana hasira nazo zina madhara yake.
Kuna unalolitafuta naona toka kwangu...
Wewe unanichagulia thread ya kufungua? Unanifundisha maisha?
Achana nami usije ukaniambukiza akili ndogo nikaishi kama wafu..
Kuna unalolitafuta naona toka kwangu...
Wewe unanichagulia thread ya kufungua? Unanifundisha maisha?
Achana nami usije ukaniambukiza akili ndogo nikaishi kama wafu..
Kwahiyo?
Inatupasa nini sisi?
Kama mfu au mfu tayari. Mimi sijakuchagulia bali umejichagulia wewe mwenyewe kwani umeonyesha huna lakujifunza kutoka kwa Diamond halafu wa kwanza kufungua thread inayomuhusu!Halafu soma vizuri nilivyoandika, nimekushauri na kwa uelewa wangu wa akili yangu ndogo unavyodhania ushauri una hiari ya kuupokea au kuukataa. usiku mwema!
Mwambie basi awe anamjali bibie Wema maana anahangaika zile milion 20 za clement anazimiss kwelii
mwanaume mwingine like...... kwani hiyo heading threat haujaielewa na kama anatreat wafanya kazi wake wasimsifie is a good leader tusiwe kila kitu tunapinga tuu.
Mtumishi wachana nae huyo nataka unisimuliee hivi YESU alisema tukienda mbinguni tutapewa nini alituahid nini
Na watakaochomwa moto ni kina nanii? ?
Yesu kaahidi uzima wa milele kwa watendao mema...
waendao motoni ni wazinzi....waongo...wevi.....n.k n.k[/QU
Mbona umeniandikia kifupii! !hivi Yuda eskeriote alisamehewaa na YESU???je mama yake Mariamu alizaa watoto wengine yaan wadogo zake YESU
Kuna unalolitafuta naona toka kwangu...
Wewe unanichagulia thread ya kufungua? Unanifundisha maisha?
Achana nami usije ukaniambukiza akili ndogo nikaishi kama wafu..
Shikamoo lusungo
Unataka kumnyima ninii bado mapema hivi
Hahahahahaaa lol kombora anazorusha za kiiran dah ni bora nitangulize heshima
Na angaliaa asije akakumarekani muda si mrefu hapana chezea big bosa Lusungo
Shikamoo lusungo
Naomba msaada jamani ina maana hakuna mwenye taarifa za huyu Mtanzania mwenzetu ??
ID Kumi maana yake nini? Umesoma lakini mwaka wa kujiunga? Mi sidhani kama inahitajiakili nyingi kutofautisha michango yangu na unayemfikiria!!! Watu wa aina yako badala yakujibu hojaunakimbilia ooh hata ukibadili ID
Chukua hilo fundisho ndio inatupasa sisi tufanye hivyo period!