Diamond ni zawadi kutoka kwa Mungu kwa watanzania


Zawadi kutoka kwa Mungu?
Mungu YUPI?
 


unamaanisha mungu huyu huyu muumba mbingu na ardhi na kila kilicho duniani? yaani huyu Mungu mfalme ndio ameishiwa zawadi mpaka atuletee zawadi ya Malaya?..astaghfillullah!
 
unamaanisha mungu huyu huyu muumba mbingu na ardhi na kila kilicho duniani? yaani huyu Mungu mfalme ndio ameishiwa zawadi mpaka atuletee zawadi ya Malaya?..astaghfillullah!

Hhhhhaaaaaa
 

Le Mutuz alishatuambia kuna vijana duni na maskini wa kutupwa wamepewa simu za Tecno na wanawekewa bundle kwa kazi hii.

Nakutakia ajila njema Amigo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…