Diamond ni zawadi kutoka kwa Mungu kwa watanzania

Diamond ni zawadi kutoka kwa Mungu kwa watanzania

Jana nilijihakikishia jinsi gani Diamond yupo katika level yake ya kipekee huko juu....unajua ilikuwaje??


kwenye tamasha la fiesta la Dodoma ilipigwa nyimbo ya mdogomdogo bila Diamond kuwepo na ilipata shangwe zaidi ya wanamuziki wote waliokuwa wakipeform..

Zaidi hata ya ally kiba ambaye wanafki wachache wanafanya makusudi kumlinganisha na Diamiond...hebu fikiria mtu hayupo ila anakufunika je angekuwepo???!! ………………


Diamond ni zawadi kutoka kwa Mungu kama unampenda ally kiba, barnaba na wengineo poa tu lakini tambua Diamond yupo kule juu anawaangalia wale waliopo chini.

Zawadi kutoka kwa Mungu?
Mungu YUPI?
 
Jana nilijihakikishia jinsi gani Diamond yupo katika level yake ya kipekee huko juu....unajua ilikuwaje??

kwenye tamasha la fiesta la Dodoma ilipigwa nyimbo ya mdogomdogo bila Diamond kuwepo na ilipata shangwe zaidi ya wanamuziki wote waliokuwa wakipeform..

Zaidi hata ya Ally Kiba ambaye wanafki wachache wanafanya makusudi kumlinganisha na Diamiond...hebu fikiria mtu hayupo ila anakufunika je angekuwepo???!! ………………

Diamond ni zawadi kutoka kwa Mungu kama unampenda ally kiba, barnaba na wengineo poa tu lakini tambua Diamond yupo kule juu anawaangalia wale waliopo chini.


unamaanisha mungu huyu huyu muumba mbingu na ardhi na kila kilicho duniani? yaani huyu Mungu mfalme ndio ameishiwa zawadi mpaka atuletee zawadi ya Malaya?..astaghfillullah!
 
unamaanisha mungu huyu huyu muumba mbingu na ardhi na kila kilicho duniani? yaani huyu Mungu mfalme ndio ameishiwa zawadi mpaka atuletee zawadi ya Malaya?..astaghfillullah!

Hhhhhaaaaaa
 
Jana nilijihakikishia jinsi gani Diamond yupo katika level yake ya kipekee huko juu....unajua ilikuwaje??

kwenye tamasha la fiesta la Dodoma ilipigwa nyimbo ya mdogomdogo bila Diamond kuwepo na ilipata shangwe zaidi ya wanamuziki wote waliokuwa wakipeform..

Zaidi hata ya Ally Kiba ambaye wanafki wachache wanafanya makusudi kumlinganisha na Diamiond...hebu fikiria mtu hayupo ila anakufunika je angekuwepo???!! ………………

Diamond ni zawadi kutoka kwa Mungu kama unampenda ally kiba, barnaba na wengineo poa tu lakini tambua Diamond yupo kule juu anawaangalia wale waliopo chini.

Le Mutuz alishatuambia kuna vijana duni na maskini wa kutupwa wamepewa simu za Tecno na wanawekewa bundle kwa kazi hii.

Nakutakia ajila njema Amigo.
 
Back
Top Bottom