kuntaa kinte
Member
- Mar 16, 2014
- 18
- 11
Zawadi kwako na kwa dada yko inaezekana anawalea. Hyo ndomo wap kaishawai fanyaa kazi ya mungu ? Au ndo ilee yakuwafutulishaa waandishi wa global kwa chakulaa kilichopkwa na hawara wema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basha wake chief alimhonga gari na aliutangazia umma kupitia kipindi cha hatua tatu cha times fm kuwa alimpatia gari diamond kwi kwi kwiii dunia hii hakuna cha bure,mimi dume la mbegu mhogo wa jang'ombe unaweza kuja nikupatie hata mama yako nitamsugua vizuri tu
Mwanaume kufuatilia mwenzako anavyopata mali wakati wewe umekalisha 0 kwenu ni ishara kuwa unataka kuolewa
Hizi za kidunia nazo ni zawadi toka kwa Mungu tena kwa taifa zima? Chinekeee!!
So Diamond alishushwa ili kuja kuimba mziki wa kidunia watu waburudike??!! Hata kama wampenda Dai kiasi gani ila hapo umechemka.
mwanzisha uzi akili huna.... hiyo title uliyompa hastahili.... ni zawadi kwa anaowagonga, wazazi wake,wapenzi wa muziki wake na wote wanaomtegemea. cku nyingine kbla hujapayuka chagua kauli sio unakuja kuja tu na cheap publicity. Tumia akili acha kubemenda ubongo kwa kutoa sifa za kijinga jinga
We unadhani alishushwa duniani ili aimbe mapambio??...Mungu mwenyewe anafahamu maana ya muziki wa kidunia
mwanzisha uzi akili huna.... hiyo title uliyompa hastahili.... ni zawadi kwa anaowagonga, wazazi wake,wapenzi wa muziki wake na wote wanaomtegemea. cku nyingine kbla hujapayuka chagua kauli sio unakuja kuja tu na cheap publicity. Tumia akili acha kubemenda ubongo kwa kutoa sifa za kijinga jinga
Akili za kuku lazma zifanane
We ndo empty set kweli ka unafikiria ku coment ujinga acha kutumia kichwa cha chini kufikiri hamna kitu kibaya ka kufilisika mawazo na kufikiri kwa kutumia make.. Au kutumia kichwa kufugia nywele
jana nilijihakikishia jinsi gani diamond yupo katika level yake ya kipekee huko juu....unajua ilikuwaje??
Kwenye tamasha la fiesta la dodoma ilipigwa nyimbo ya mdogomdogo bila diamond kuwepo na ilipata shangwe zaidi ya wanamuziki wote waliokuwa wakipeform..
Zaidi hata ya ally kiba ambaye wanafki wachache wanafanya makusudi kumlinganisha na diamiond...hebu fikiria mtu hayupo ila anakufunika je angekuwepo???!!
diamond ni zawadi kutoka kwa mungu kama unampenda ally kiba, barnaba na wengineo poa tu lakini tambua diamond yupo kule juu anawaangalia wale waliopo chini.
sina haja ya kuendeleza thread na bichwa maji ...... endelea kuonesha kiasi gani ulivyo zero brain @ el nino
Zero brain ni wewe asee ....kichwa chako ni cha kunyolea viduku tu hakina kazi nyingine zaidi ya hapo
Jana nilijihakikishia jinsi gani Diamond yupo katika level yake ya kipekee huko juu....unajua ilikuwaje??
kwenye tamasha la fiesta la Dodoma ilipigwa nyimbo ya mdogomdogo bila Diamond kuwepo na ilipata shangwe zaidi ya wanamuziki wote waliokuwa wakipeform..
Zaidi hata ya Ally Kiba ambaye wanafki wachache wanafanya makusudi kumlinganisha na Diamiond...hebu fikiria mtu hayupo ila anakufunika je angekuwepo???!!
Diamond ni zawadi kutoka kwa Mungu kama unampenda ally kiba, barnaba na wengineo poa tu lakini tambua Diamond yupo kule juu anawaangalia wale waliopo chini.