Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio hazitaki bali kwa show moja kiba anaingiza pesa nyingi kuliko daimond wakilipa vitu vyote kila mtu sema kiba hapigi mara kwa mara showpwilo unazan kiba show hazitaki? Anyway, kama Kingkiba anaingiza pesa ndefu zaidi mbona bado anaishi kwa bimkubwa pale kkoo?
kwan kazi ya msanii n nn :A S confused: sasa unakuaje msanii halafu haufanyi show
Acha urongo mkuu.
Mtamuua huyo msanii wenu stejini.
Ndio maana pumzi huwa inakata.
mkuu hiyo ndo halali yake sio hivi vi helanipe contacts za diamond,nataka aje kupiga show kwenye birthday ya binti yangu hapa songea nitamlipa bilion moja tu!
Diamond akidai kalipwa hivyo ni sawa, maisha yake yanaonekana. Yule mwenzake akidai kalipwa 100 tutashangaa maana hata humu JF kuna thread inasema nyumba hana!
Kiba siyo mpiga kelele hahahahaaaaaa asa unasema umelipwa mil 100 ndo kubwa kwako kwa Tanzania...ukija gundua mwenzio alilipwa 120 je?...hahahahaaaaaaa...uuuuuwi
Kiba alilipwa 20 milion alipogundua mwenzake kalipwa 100 akataka kususa akaambiwa umesaini mkataba utatulipa fidia ya 300 milioni akanywea