Diamond: Niliwatolea nje Roc Nation ya Jay-Z

Diamond: Niliwatolea nje Roc Nation ya Jay-Z

Watanzania bado sana kujikubali. Hawataki kuamini Diamond ni jina kubwa sana hapa Africa.
Mmoja wao ni.huyo anajiita eti yeezus yeezus bongo...yeezus aka kanye west yuko marekan ...yeye yuko hapa bongo mavi kunuka anajiita yeezus anapata stress akisikia diamond...kama unapata stress na vitu vidogo kama hiv ukiwa na familia si ndo utajiua kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mmoja wao ni.huyo anajiita eti yeezus yeezus bongo...yeezus aka kanye west yuko marekan ...yeye yuko hapa bongo mavi kunuka anajiita yeezus anapata stress akisikia diamond...kama unapata stress na vitu vidogo kama hiv ukiwa na familia si ndo utajiua kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
achana nae bwanaaa!!

punguza hasira!
 
Domo ana fix balaa, jigga hajui ka kuna kitu inaitwa Diamond or Gold asee..
We sidhani kama unafika 20 yrs,sasa huyo jigga wako na kina neyo au r Kelly si ni walewale tu?halafu kwa akili yako fupi pamoja na wenzako mliochangia kwa mihemko muelewe kua diamond ni brand mtu yeyote businessman anaweza kumuhitaji kwa makubaliano maalumu ya kibiashara,lakini pia muelewe kwa sasa diamond sio tu icon ya bongo ni kwa Africa nzima au ili nalo pia mnataka kufundishwa?acheni ujuha nyie msiojua business zinafanyikaje.
 
Diamond Platnumz alitosa kusainishwa na label inayomilikiwa na Jay Z, Roc Nation

Akiongea kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM, staa huyo alisema hiyo ni moja tu ya label kubwa za Marekani alizozitolea nje. “Wakati nipo BET, Roc Nation walinifuata wakitaka wanisaini,” alisema Diamond.

“Acha Roc Nation kuna baadhi ya record label nyingi sana kubwa, nyingi sana, tena hawanifuati hivi hivi, wananifuata na ofa,” aliongeza.

“Lakini kila kitu ni target, mimi siku yoyote ukisikia nimefanya kazi na label kubwa duniani, sio kuwa under record label, ila pointi yangu itakuwa kwamba kuona namna gani wanaweza kukuza muziki wangu kidunia zaidi, nitafanya kila kitu mwenyewe. Kupata collabo na msanii yeyote mimi naweza kupata sababu Kimarekani collabo sio story, hela yako, ni biashara, mtu hawezi akakupa bure mfanye nyimbo ili upate hela, ukanye show yeye anafaidika na nini?”

Kingine Diamond alisema kama ni msanii mkubwa inakuwa rahisi kupata collabo za aina hiyo.

“Nataka mtu akinisaini, nataka muziki wangu uuzike kama wanavyouza akina Jay Z, Kanye West. Sitoingia eti Diamond kaingia na record label fulani, WCB itaingia na kampuni fulani na ikiingia ni katika makubaliano ya kuuza muziki katika digital kuona ni namna gani muziki wangu utauza sehemu fulani kwa bei nzuri.”
Ukiwa na malengo positive hili linawezekana ila km ndo dizaini ya kina niki wa pili na fiesta basi hii itakua ngumu sana umtose jigga duuh!
 
Hapa ndo tunaona mawazo halisi ya watanzania,Jay Z kwetu ni "mungu" hawezi kataliwa.
 
Roc Nation hii hii ambayo Dj Khaled anajisifu kua nw inamsimamia kazi zake anajivuni" au ya Tandale
 
Back
Top Bottom