Diamond: Niliwatolea nje Roc Nation ya Jay-Z

Yaani kwa hiyo diamond anatuambia salama Na tale Na felaa wana network ya kumwezesha yeye kufanikiwa kuliko Jay z huyu Wa Beyonce yaani amekataa kufanya kazi Na rihana DJ khaled Jay z hayo malengo gani yeye aseme washauri wake bila yeye hawatoboi tena kwa hiyo hawatamshauri vizuri zaidi ya wcb tu ila nao mkono uende kinywani hila hakuna mafanikio yoyote ata hao akina Chris Brown Drake rihana nao wanasimamiwa Na label kubwa japo ni mastaa wakubwa Na wameshafika malengo
 
kijana ana akili sana japo wenye wivu humponda
Interesting
 
Msamehe mkuu, nadhani amejua kosa
 
Nilivomuelewa jamaa yeye hataki kua akisainiwa aingiliwe katika anachofanya ama kuongozwa na label ambayo atasainishwa nayo,anataka afanye kaz mwenyewe bila kuingiliwa (which is impossible) anataka tu wamsaidie muziki wake ukue kidunia, pengine ameona mifano kama lil wayne bifu lake na birdman kuhusu hayo hayo mambo had saiv wana kes mahakaman..we unataka album itoke siku flan lakin recod label yako wanakuambia bado muda subiri...mfano mwingine ni davido hadi akawa anaonesha stress zake kwenye media, ila ku-turn ofa ya jay z mhhhhhh...
 
Umetoka nje ya mada
 
Followers youtube au insta??
 
point taken unamawazo makubwa sana bila shaka ulikua wa kwanza darasani Big appreciate

watu wanamuona j zee km mungu vile wamesahau kua hata mbuyu ulianza kama mchicha

mwacheni bwana almasi afanye yake kwanza HAPPY BIRTHDAY TO HIM
Wewe ni mtaalamu?Ulijuaje kuwa nilikuwa nashika namba moja?[emoji4] Umetisha.
 
Unatakiwa ujue maana ya neno mafanikio ndio uanze kulipuka.Mafanikio si utajiri au mali pekee bali hata kufikia malengo binafsi.Sasa kama hiyo Roc nation haipo kwenye malengo Pla TZ De Monde ni lazima akubali?Kwani hujawahi kuona mtu ambaye kwao kuna mali nyingi lakini amejikita katika kufanya biashara zake hata kama ni ndogondogo?Hiari hushinda utumwa.Jitambue ndugu yangu.
 
Sasa shida nn asiseme anacho penda kwani jayz ndo nani duniani safi chibuu komaa kuna watu wapenda mtelezo wangapi mziki wao umebuma mbayaa
Angekua kakataa colabo hata mim ningemuona boya mwacheni ajisimamie mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…