kijana ana akili sana japo wenye wivu humpondaDiamond Platnumz alitosa kusainishwa na label inayomilikiwa na Jay Z, Roc Nation
Akiongea kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM, staa huyo alisema hiyo ni moja tu ya label kubwa za Marekani alizozitolea nje. “Wakati nipo BET, Roc Nation walinifuata wakitaka wanisaini,” alisema Diamond.
“Acha Roc Nation kuna baadhi ya record label nyingi sana kubwa, nyingi sana, tena hawanifuati hivi hivi, wananifuata na ofa,” aliongeza.
“Lakini kila kitu ni target, mimi siku yoyote ukisikia nimefanya kazi na label kubwa duniani, sio kuwa under record label, ila pointi yangu itakuwa kwamba kuona namna gani wanaweza kukuza muziki wangu kidunia zaidi, nitafanya kila kitu mwenyewe. Kupata collabo na msanii yeyote mimi naweza kupata sababu Kimarekani collabo sio story, hela yako, ni biashara, mtu hawezi akakupa bure mfanye nyimbo ili upate hela, ukanye show yeye anafaidika na nini?”
Kingine Diamond alisema kama ni msanii mkubwa inakuwa rahisi kupata collabo za aina hiyo.
“Nataka mtu akinisaini, nataka muziki wangu uuzike kama wanavyouza akina Jay Z, Kanye West. Sitoingia eti Diamond kaingia na record label fulani, WCB itaingia na kampuni fulani na ikiingia ni katika makubaliano ya kuuza muziki katika digital kuona ni namna gani muziki wangu utauza sehemu fulani kwa bei nzuri.”
Interesting
Msamehe mkuu, nadhani amejua kosaAise wewe ni ******** dogo ...sasa ukinitukana ndo utabadilisha mawazo ama alichokisema mr diamond? Kipi ambacho kimekukera sana we masikin had unatukana watu usiowajua...mana kama umefikia hatua ya kutukana kisa thread bas una mawazo ya kimasikini sana ..jibu kwa hoja ama pinga kwa hoja ...najua kejeli zipo lakin sio matusi..nikiamua kukufatilia wewe dogo nafikir unaweza kua mfano, sijawa chokoraa ktk maisha yang so nakuonya kwa mara ya mwisho.
Ni mimi sijajuelewa au hizo views ulizoweka hapo ni za Kevin na Jimmy wakiwa kwenye roller coaster au ni za Chibu dangote ?Ukiondoa Hiyo Roc Nation ya Tandale pia Hadi Kevin Hart alishangaa jamaa kuwa na View Nyingi kwenye youtube na kuwapita hadi kina Rick_rozay.
View attachment 410948
Umetoka nje ya madaBinafsi naamini, tukiacha wivu na kujidharau, ukweli Diamond anashine sana, ananyota kali.. So far amafika mbali sana, na anatupeleka mbali sana.
Hivi utafananisha zama za hapo kati na hizi za kwake? Anabidii na Kazi yake, kuna kipindi alitangaza kua hafanyi kazi jukwaani bila 10mil kuna watu waliongea sana, ila leo wako wapi?
Ifike mahali tukubali kua tunazidiana, wewe ukijua mbele wenzako wanajua nyuma. Najua wengi wanabeza kwa kufikiria kua Jay Z ni Mungu flani hivi.
Kazana Diamond.. Utafika Mbali.. Hawa wa kutembea na bahasha za kaki achana nao
Followers youtube au insta??Sioni ajabu kwa sababu Jay Zee ni mtu mdogo sana ukilinganisha na kina Richard Turnbull,Donald Cameroon lakini walikuja Africa na kutafuta watu wa kuwatimia katika malengo yao.Jay Zee ni mfanyabiashara na Diamond ni bidhaa kwa hiyo si kitu cha ajabu kuona Jay Zee akitaka kupata faida zaidi kupitia Almasi Platinum.Kinachomdatisha Jay Zee ni followers na Africa inakuja juu sana katika biashara ya music.Bila kusahau Illumin.....ati
Kweli lakin hapo mwishoNgoja tuweke akiba ya maneno ila nijuavyo Kama angeombwa angeshapost Instagram kwa jinsi anavyopenda publicity
Wewe ni mtaalamu?Ulijuaje kuwa nilikuwa nashika namba moja?[emoji4] Umetisha.point taken unamawazo makubwa sana bila shaka ulikua wa kwanza darasani Big appreciate
watu wanamuona j zee km mungu vile wamesahau kua hata mbuyu ulianza kama mchicha
mwacheni bwana almasi afanye yake kwanza HAPPY BIRTHDAY TO HIM
Kabisaaa.Ukiwa na malengo positive hili linawezekana ila km ndo dizaini ya kina niki wa pili na fiesta basi hii itakua ngumu sana umtose jigga duuh!
Unatakiwa ujue maana ya neno mafanikio ndio uanze kulipuka.Mafanikio si utajiri au mali pekee bali hata kufikia malengo binafsi.Sasa kama hiyo Roc nation haipo kwenye malengo Pla TZ De Monde ni lazima akubali?Kwani hujawahi kuona mtu ambaye kwao kuna mali nyingi lakini amejikita katika kufanya biashara zake hata kama ni ndogondogo?Hiari hushinda utumwa.Jitambue ndugu yangu.Yaani kwa hiyo diamond anatuambia salama Na tale Na felaa wana network ya kumwezesha yeye kufanikiwa kuliko Jay z huyu Wa Beyonce yaani amekataa kufanya kazi Na rihana DJ khaled Jay z hayo malengo gani yeye aseme washauri wake bila yeye hawatoboi tena kwa hiyo hawatamshauri vizuri zaidi ya wcb tu ila nao mkono uende kinywani hila hakuna mafanikio yoyote ata hao akina Chris Brown Drake rihana nao wanasimamiwa Na label kubwa japo ni mastaa wakubwa Na wameshafika malengo
Followers ni wafuasi ambao ndio mashabiki pia.Usikariri[emoji4]Followers youtube au insta??