Short and clear, umeshindwa hoja; au labda kwavile tu umeamua kutokubali kwa sababu inamhusu mtu ambae ungetaka iwe kinyume chake!!!hujakosea mkuu ni kwasababu tu hujanywa chai.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Short and clear, umeshindwa hoja; au labda kwavile tu umeamua kutokubali kwa sababu inamhusu mtu ambae ungetaka iwe kinyume chake!!!hujakosea mkuu ni kwasababu tu hujanywa chai.
mbona hapa sijajadili chochote na wewe zaidi ya kukushauri ukanywe chai???Short and clear, umeshindwa hoja; au labda kwavile tu umeamua kutokubali kwa sababu inamhusu mtu ambae ungetaka iwe kinyume chake!!!
Mke wangu ndo anajua kwamba nimekunywa chai, au hapana!!! Na ndie yeye anaetakiwa kunishauri kufanya lolote kuhusu hilo!! Mbona unajitwisha majukumu mazito ndugu yangu?!mbona hapa sijajadili chochote na wewe zaidi ya kukushauri ukanywe chai???
hapa tayari umeshapanic,Mke wangu ndo anajua kwamba nimekunywa chai, au hapana!!! Na ndie yeye anaetakiwa kunishauri kufanya lolote kuhusu hilo!! Mbona unajitwisha majukumu mazito ndugu yangu?!
Hua nawapa respect mnaochambua mambo kama hivi, hii inaonesha ukomavu wa akili.Tatizo sio kuwa na label, bali mkataba wao unasema nini!! Aidha, mtu kama Davido anaweza kuwa chini ya hao watu lakini kumbe mkataba wao unahusiana na masuala ya publishing tu! Na haya mambo yanakuwa hayajulikani hadi mkataba unapoisha au kuvunjika!! Kama hukutaka mfano wa akina Harmonize na Saida Karori, nimekupa hapo mfano wa Taylor Swift! Msome mwenyewe hapa akiwatolea povu Big Machine:-
Sasa huyo ni Taylor Swift pleading for a chance to own her own work!! Kwamba, pamoja na ukubwa wake wote, pamoja na mafanikio yake yote, bado Big Machine hawakumpa chance Taylor ya kununua masters zake; yaani kama ambavyo walifanya WCB kwa Harmonize!! Yaani kazi alizotolea jasho mwenyewe, bado alikuwa anapigania azinunue ili azimiliki!!
Sasa huyo ni Taylor Swift, what about mtu kama Diamond au hao akina Davido!
Na hili sio kwa Taylor Swift peke yake!! Kama unafuatilia burudani, bila shaka unaufahamu mtandao wa Rolling Stone, ambao naamini ni kawaida kwao kuwa na inside info! Kwenye hilo sakata, Rolling Stone waliandika:-Wametaja hapo wasanii wengine ambao wali-retaliate kwa sababu kimsingi, hawakuwa na ownership ya masters, bali ilikuwa inamilikiwa na labels zao! Sasa hicho ndicho hakutaka Diamond!
Na kama kumbukumbu zangu zipo sawa, nadhani tatizo kama hilo lilitokea kwa Michael Jackson chini ya hao hao Sony wa Ali Kiba!!
Nipate jazba kwa lipi Chifu?! Mimi ni rahisi sana kupata jazba kama mtu anayefanya personal attack, lakini kwako nimechukulia umezingua tu, na ndio maana nami nikakuzingua!!!hapa tayari umeshapanic,
punguza jazba mkuuu 😀 😀 😀 😀
Miaka 3 baadae, tunaomba maoni yako kwenye hii mada!!!!1
Duh! Nyie watu sijui vp!!! Hivi hiyo habari inazungumzia suala la Diamond kuwa level moja na Jay Z au Diamond kusainiwa na Roc Nation?! Na msingi wa swali ulilo-quote ni kwamba, wakati Diamond anatangaza kwamba Roc Nation walimfuata kumsaini; yeye alikataa! Haters wakadai kwamba Diamond muongo na anatafuta kiki tu huku wakiamini asingekuwa na ubavu wa kukataa kusainiwa na Roc Nation!! Na alieleza ni kwanini alikataa kusainiwa na Roc Nation!😀😀 diamond awe level moja na Jay Z au kuwa maarufu marekani haiwezi tokea iyo
Yaani nikuwekee shobo wewe?! Kiroja cha mwaka hiki!!! Nakukumbusha, hii ni public forum! Ukiweka post watu wata-quote tu na comment! Hujalazimishwa kujibu!! Kama hutaki kujibu unapotezea tu badala ya kuleta mipasho!!!Povuu Mimi au wewe?!!!sasa umetumwa kuuliza?ulitaka uulize usijibiwe?Jifunze kubalansi shoboo!!!byeeeeeeeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu kwani unaongelea nn? Sikuelewi hataa
Yaani nikuwekee shobo wewe?! Kiroja cha mwaka hiki!!! Nakukumbusha, hii ni public forum! Ukiweka post watu wata-quote tu na comment! Hujalazimishwa kujibu!! Kama hutaki kujibu unapotezea tu badala ya kuleta mipasho!!!
Kumbe hujitambui!!!! Ngoja nikupuuze basi!
Wenye mawazo mgando watapinga hii,,Diamond Platnumz alitosa kusainishwa na label inayomilikiwa na Jay Z, Roc Nation
Akiongea kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM, staa huyo alisema hiyo ni moja tu ya label kubwa za Marekani alizozitolea nje. “Wakati nipo BET, Roc Nation walinifuata wakitaka wanisaini,” alisema Diamond.
“Acha Roc Nation kuna baadhi ya record label nyingi sana kubwa, nyingi sana, tena hawanifuati hivi hivi, wananifuata na ofa,” aliongeza.
“Lakini kila kitu ni target, mimi siku yoyote ukisikia nimefanya kazi na label kubwa duniani, sio kuwa under record label, ila pointi yangu itakuwa kwamba kuona namna gani wanaweza kukuza muziki wangu kidunia zaidi, nitafanya kila kitu mwenyewe. Kupata collabo na msanii yeyote mimi naweza kupata sababu Kimarekani collabo sio story, hela yako, ni biashara, mtu hawezi akakupa bure mfanye nyimbo ili upate hela, ukanye show yeye anafaidika na nini?”
Kingine Diamond alisema kama ni msanii mkubwa inakuwa rahisi kupata collabo za aina hiyo.
“Nataka mtu akinisaini, nataka muziki wangu uuzike kama wanavyouza akina Jay Z, Kanye West. Sitoingia eti Diamond kaingia na record label fulani, WCB itaingia na kampuni fulani na ikiingia ni katika makubaliano ya kuuza muziki katika digital kuona ni namna gani muziki wangu utauza sehemu fulani kwa bei nzuri.”
Waliopinga ni wale wenye mawazo mgando [emoji23],,Duh! Nyie watu sijui vp!!! Hivi hiyo habari inazungumzia suala la Diamond kuwa level moja na Jay Z au Diamond kusainiwa na Roc Nation?! Na msingi wa swali ulilo-quote ni kwamba, wakati Diamond anatangaza kwamba Roc Nation walimfuata kumsaini; yeye alikataa! Haters wakadai kwamba Diamond muongo na anatafuta kiki tu huku wakiamini asingekuwa na ubavu wa kukataa kusainiwa na Roc Nation!! Na alieleza ni kwanini alikataa kusainiwa na Roc Nation!
Ndipo nimeuliza: Je, hata baada ya miaka 3 kupita, bado wanaamini Diamond alidanganya kwamba alikataa kusainiwa na Roc Nation hasa ukizingatia aina ya mkataba wake na Universal Studio na alivyokuwa amesema kuhusu Roc Nation?!
Sasa Chifu suala la Diamond kuwa level moja na Jay Z linakujaje?!
Kabisa mkuuHua nawapa respect mnaochambua mambo kama hivi, hii inaonesha ukomavu wa akili.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],,Duh! Huu uzi watu walijimaliza!!! Imenibidi nipitie posts zote. Ukizisoma moja ya baada ya nyingine, ndipo utakapogundua ama Watanzania ni roho mbaya au hawajiamini kwamba wanaweza!
Huwa tunafatilia commentz kama hizi,,Mara nyingi unapokua na ndoto yako kubwa ambayo watu wanaona haiwezekani wewe ndo unatakiwa ukazane hapo hapo..kwasababu hakuna lisilowezekana. Sioni uongo uko wapi hapa kwenye hili swala, msanii kama Tiwa tu amekua signed recently na Roc Nation. Why not Diamond? Anachokitaka Diamond sio sifa za kuwa kwenye label kubwa he wants assurance ya kipato chake, soko lake kukua, kujipenyeza zaidi kimataifa na kuwa partners. It's something that seems impossible but dogo tayari keshafanya mengi kuwa possible so let's wait and see how he makes this one come to reality. Hakuna lisilowezekana ni uthubutu tu and dogo is very Daring