Diamond: Niliwatolea nje Roc Nation ya Jay-Z

Diamond: Niliwatolea nje Roc Nation ya Jay-Z

Muongo bwana!!![emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]

Anadanganya km hatujui kusoma vile!

Hivi hao wenziwe kwani hawatamani kukolabo na kina jiga?

Nafasi za kuwapata mpk waje coke studio km Neyo ndo tusafirie nyota!

Uongo mtupu!
Kick za kishamba
Tunaomba maoni yenu tafadhali! Kwa kuwakumbusha tu, ambacho Diamond alisema alikataa kwa sababu hakutaka kuwa chini ya label, ndicho ambacho kinyume chake kilifanywa na UMG; kwamba ngoma zake ni mali yake na label yake ya WCB!!
 
Tunaomba maoni yenu tafadhali! Kwa kuwakumbusha tu, ambacho Diamond alisema alikataa kwa sababu hakutaka kuwa chini ya label, ndicho ambacho kinyume chake kilifanywa na UMG; kwamba ngoma zake ni mali yake na label yake ya WCB!!
Kwa hyo unasuta au?tafuta vya kufanya bwana wee!tushahama hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kweli kijana kafika mbali kwa sasa. Its been 3 years !
Binafsi naamini, tukiacha wivu na kujidharau, ukweli Diamond anashine sana, ananyota kali.. So far amafika mbali sana, na anatupeleka mbali sana.

Hivi utafananisha zama za hapo kati na hizi za kwake? Anabidii na Kazi yake, kuna kipindi alitangaza kua hafanyi kazi jukwaani bila 10mil kuna watu waliongea sana, ila leo wako wapi?

Ifike mahali tukubali kua tunazidiana, wewe ukijua mbele wenzako wanajua nyuma. Najua wengi wanabeza kwa kufikiria kua Jay Z ni Mungu flani hivi.

Kazana Diamond.. Utafika Mbali.. Hawa wa kutembea na bahasha za kaki achana nao
 
Povuu Mimi au wewe?!!!sasa umetumwa kuuliza?ulitaka uulize usijibiwe?Jifunze kubalansi shoboo!!!byeeeeeeeee
Mbona povuu wakati umeulizwa tu?! Btw, wewe mwenye ya kufanya nini basi kimekufanya ujibu badala ya kupotezea tu ili uendelee kufanya hayo unayofanya?!

Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu kwani unaongelea nn? Sikuelewi hataa
 
Diamond Platnumz alitosa kusainishwa na label inayomilikiwa na Jay Z, Roc Nation

Akiongea kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM, staa huyo alisema hiyo ni moja tu ya label kubwa za Marekani alizozitolea nje. “Wakati nipo BET, Roc Nation walinifuata wakitaka wanisaini,” alisema Diamond.

“Acha Roc Nation kuna baadhi ya record label nyingi sana kubwa, nyingi sana, tena hawanifuati hivi hivi, wananifuata na ofa,” aliongeza.

“Lakini kila kitu ni target, mimi siku yoyote ukisikia nimefanya kazi na label kubwa duniani, sio kuwa under record label, ila pointi yangu itakuwa kwamba kuona namna gani wanaweza kukuza muziki wangu kidunia zaidi, nitafanya kila kitu mwenyewe. Kupata collabo na msanii yeyote mimi naweza kupata sababu Kimarekani collabo sio story, hela yako, ni biashara, mtu hawezi akakupa bure mfanye nyimbo ili upate hela, ukanye show yeye anafaidika na nini?”

Kingine Diamond alisema kama ni msanii mkubwa inakuwa rahisi kupata collabo za aina hiyo.

“Nataka mtu akinisaini, nataka muziki wangu uuzike kama wanavyouza akina Jay Z, Kanye West. Sitoingia eti Diamond kaingia na record label fulani, WCB itaingia na kampuni fulani na ikiingia ni katika makubaliano ya kuuza muziki katika digital kuona ni namna gani muziki wangu utauza sehemu fulani kwa bei nzuri.”
Hii ilikuja muda mfupi baada ya king KIBA kuwa signed na SONY kama amabavyo kaamua kwenda KIGOMA 31|12 baada ya KING KUUMIZA VIBAYA TABORA hapa ndo utajua kiba anafuatiliwa hadi na mabosi wenu kima nyie...na najua baada ya kiba kupewa tuzo na mashabiki wake juzi ngojeni muone mashabiki wa jamaa watachofanya....ni kufuata nyayo tuuu mkubwa mkubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Diamond Platnumz alitosa kusainishwa na label inayomilikiwa na Jay Z, Roc Nation

Akiongea kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM, staa huyo alisema hiyo ni moja tu ya label kubwa za Marekani alizozitolea nje. “Wakati nipo BET, Roc Nation walinifuata wakitaka wanisaini,” alisema Diamond.

“Acha Roc Nation kuna baadhi ya record label nyingi sana kubwa, nyingi sana, tena hawanifuati hivi hivi, wananifuata na ofa,” aliongeza.

“Lakini kila kitu ni target, mimi siku yoyote ukisikia nimefanya kazi na label kubwa duniani, sio kuwa under record label, ila pointi yangu itakuwa kwamba kuona namna gani wanaweza kukuza muziki wangu kidunia zaidi, nitafanya kila kitu mwenyewe. Kupata collabo na msanii yeyote mimi naweza kupata sababu Kimarekani collabo sio story, hela yako, ni biashara, mtu hawezi akakupa bure mfanye nyimbo ili upate hela, ukanye show yeye anafaidika na nini?”

Kingine Diamond alisema kama ni msanii mkubwa inakuwa rahisi kupata collabo za aina hiyo.

“Nataka mtu akinisaini, nataka muziki wangu uuzike kama wanavyouza akina Jay Z, Kanye West. Sitoingia eti Diamond kaingia na record label fulani, WCB itaingia na kampuni fulani na ikiingia ni katika makubaliano ya kuuza muziki katika digital kuona ni namna gani muziki wangu utauza sehemu fulani kwa bei nzuri.”
Kasainiwa michael jackson WEWE NANI?..hata KANYE UNAYEMTAJA YUPO UNDER LABEL....wewe MMANYEMA NI NAAANI ukatae hahahahaaaaaa...kuchamba kwingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamba diamond miaka 3 baadae atakuwa yupo sawa na Jay Z

Kweli we ni kilaza
Sasa mimi na wewe kilaza nani??! Hivi kuna ukilaza mbaya kama kuwa kilaza halafu hujijui kwamba ni kilaza?!Yaani kwa akili yako unaamini hii mada inamlinganisha Diamond na Jay Z?! Au kwa akili yako fupi maelezo yangu unayaona yanamlinganisha Jay Z na Diamond?!
 
Ana malengo makubwa zaidi ya hiyo Lebel so sishangai kuona akiyaheshimu malengo yake hata kama hayatatimia.Uhuru wa mtu upo ndani ya nafsi na si kwenye material shits.Wewe usiyesimamia malengo ni rahisi kuhama njia kwa sababu ya tamaa.Be concious...[emoji4]
Anajichelewesha kufikia kwa jigga atakufa afufuke afe tena hahahaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kasainiwa michael jackson WEWE NANI?..hata KANYE UNAYEMTAJA YUPO UNDER LABEL....wewe MMANYEMA NI NAAANI ukatae hahahahaaaaaa...kuchamba kwingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini ulielewa hoja ya Diamond?! Yeye shida yake haikuwa kusainiwa na Roc Nation bali ambacho hakutaka ni kuwa chini ya Roc Nation! Label nyingi ukienda kichwa kichwa, wanataka wakusaini uwe chini yao; na matokeo yake ndo kama yale ya Saida Karol na FM, au ya Harmonize na WCB! Na kwa international level, tafuta mkataba wa zamani wa Taylor Swift!

Hata hivyo, siwezi kuwalaumu Saida na Harmonize kwa sababu walikuwa wanatafuta kutoka na walikuwa hawajaji-establish! Athari ya alichokuwa amekataa ni kwamba, hizi ngoma ambazo anatoa zingekuwa sio mali yake bali ni mali ya Roc Nation kwa sababu wao ndio wangegharamia kuanzia studio hadi video!! Sasa kwanini wao wagharamie nyimbo ziwe zao wakati mwenyewe tayari una label?!
 
Lakini ulielewa hoja ya Diamond?! Yeye shida yake haikuwa kusainiwa na Roc Nation bali ambacho hakutaka ni kuwa chini ya Roc Nation! Label nyingi ukienda kichwa kichwa, wanataka wakusaini uwe chini yao; na matokeo yake ndo kama yale ya Saida Karol na FM, au ya Harmonize na WCB! Hata hivyo, siwezi kuwalaumu Saida na Harmonize kwa sababu walikuwa wanatafuta kutoka na walikuwa hawajaji-establish! Athari ya alichokuwa amekataa ni kwamba, hizi ngoma ambazo anatoa zingekuwa sio mali yake bali ni mali ya Roc Nation kwa sababu wao ndio wangegharamia kuanzia studio hadi video!! Sasa kwanini wao wagharamie nyimbo ziwe zao wakati mwenyewe tayari una label?!
hahahaha mkuu hebu kanywe chai kwanza.
 
Lakini ulielewa hoja ya Diamond?! Yeye shida yake haikuwa kusainiwa na Roc Nation bali ambacho hakutaka ni kuwa chini ya Roc Nation! Label nyingi ukienda kichwa kichwa, wanataka wakusaini uwe chini yao; na matokeo yake ndo kama yale ya Saida Karol na FM, au ya Harmonize na WCB! Hata hivyo, siwezi kuwalaumu Saida na Harmonize kwa sababu walikuwa wanatafuta kutoka na walikuwa hawajaji-establish! Athari ya alichokuwa amekataa ni kwamba, hizi ngoma ambazo anatoa zingekuwa sio mali yake bali ni mali ya Roc Nation kwa sababu wao ndio wangegharamia kuanzia studio hadi video!! Sasa kwanini wao wagharamie nyimbo ziwe zao wakati mwenyewe tayari una label?!
Angekuja kutuambia walimtaka akaenda bt mkataba haukuwa na favour kwake sawa asa anasema walimtaka akakataa huyu diamond au diamond yupi?...jamaa sukari sana anatumia nguvu nying sana ili amantain karia yake hahahaaaa...nenda waambie ok ili mnisaini nataka 1,2,3.....wakishindwa njoo tuambie tulishindwana coz ya 1,2,3...ILA SISHANGAI TULIWAGI AMBIWA ATATUMBUIZA UFUNGUZI WA KOMBE LA DUNIA RUSSIA TULIPOHOJI ZILIKUJA HOJA TETEZI KAMA HIZI NA MWISHO WA SIKU RUSSIA HATUKUMUONA...sidhani kama kuna haja ya kumaliza nguvu zangu hapa..drama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini ulielewa hoja ya Diamond?! Yeye shida yake haikuwa kusainiwa na Roc Nation bali ambacho hakutaka ni kuwa chini ya Roc Nation! Label nyingi ukienda kichwa kichwa, wanataka wakusaini uwe chini yao; na matokeo yake ndo kama yale ya Saida Karol na FM, au ya Harmonize na WCB! Na kwa international level, tafuta mkataba wa zamani wa Taylor Swift!

Hata hivyo, siwezi kuwalaumu Saida na Harmonize kwa sababu walikuwa wanatafuta kutoka na walikuwa hawajaji-establish! Athari ya alichokuwa amekataa ni kwamba, hizi ngoma ambazo anatoa zingekuwa sio mali yake bali ni mali ya Roc Nation kwa sababu wao ndio wangegharamia kuanzia studio hadi video!! Sasa kwanini wao wagharamie nyimbo ziwe zao wakati mwenyewe tayari una label?!
Mbona davido ana lebel na yupo chini ya jamaa...Ali kiba ana lebel na yupo sonny na rockstar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona davido ana lebel na yupo chini ya jamaa...Ali kiba ana lebel na yupo sonny na rockstar

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo sio kuwa na label, bali mkataba wao unasema nini!! Aidha, mtu kama Davido anaweza kuwa chini ya hao watu lakini kumbe mkataba wao unahusiana na masuala ya publishing tu! Na haya mambo yanakuwa hayajulikani hadi mkataba unapoisha au kuvunjika!! Kama hukutaka mfano wa akina Harmonize na Saida Karori, nimekupa hapo mfano wa Taylor Swift! Msome mwenyewe hapa akiwatolea povu Big Machine:-
For years I asked, pleaded for a chance to own my work. Instead, I was given an opportunity to sign back up to Big Machine Records and ‘earn’ one album back at a time, one for every new one I turned in. I walked away because I knew once I signed that contract, Scott Borchetta would sell the label, thereby selling me and my future. I had to make the excruciating choice to leave behind my past. Music I wrote on my bedroom floor and videos I dreamed up and paid for from the money I earned playing in bars, then clubs, then arenas, then stadiums.

Some fun facts about today’s news: I learned about Scooter Braun’s purchase of my masters as it was announced to the world. All I could think about was the incessant, manipulative bullying I’ve received at his hands for years.
Like when Kim Kardashian orchestrated an illegally recorded snippet of a phone call to be leaked and then Scooter got his two clients together to bully me online about it. (See photo) Or when his client, Kanye West, organized a revenge porn music video which strips my body naked. Now Scooter has stripped me of my life’s work, that I wasn’t given an opportunity to buy. Essentially, my musical legacy is about to lie in the hands of someone who tried to dismantle it.

This is my worst case scenario. This is what happens when you sign a deal at fifteen to someone for whom the term ‘loyalty’ is clearly just a contractual concept. And when that man says ‘Music has value’, he means its value is beholden to men who had no part in creating it.

When I left my masters in Scott’s hands, I made peace with the fact that eventually he would sell them. Never in my worst nightmares did I imagine the buyer would be Scooter. Any time Scott Borchetta has heard the words ‘Scooter Braun’ escape my lips, it was when I was either crying or trying not to. He knew what he was doing; they both did. Controlling a woman who didn’t want to be associated with them. In perpetuity. That means forever.
Thankfully, I am now signed to a label that believes I should own anything I create. Thankfully, I left my past in Scott’s hands and not my future. And hopefully, young artists or kids with musical dreams will read this and learn about how to better protect themselves in a negotiation. You deserve to own the art you make.
I will always be proud of my past work. But for a healthier option, Lover will be out August 23.

Sad and grossed out,
💔
Taylor
Sasa huyo ni Taylor Swift pleading for a chance to own her own work!! Kwamba, pamoja na ukubwa wake wote, pamoja na mafanikio yake yote, bado Big Machine hawakumpa chance Taylor ya kununua masters zake; yaani kama ambavyo walifanya WCB kwa Harmonize!! Yaani kazi alizotolea jasho mwenyewe, bado alikuwa anapigania azinunue ili azimiliki!!

Sasa huyo ni Taylor Swift, what about mtu kama Diamond au hao akina Davido!

Na hili sio kwa Taylor Swift peke yake!! Kama unafuatilia burudani, bila shaka unaufahamu mtandao wa Rolling Stone, ambao naamini ni kawaida kwao kuwa na inside info! Kwenye hilo sakata, Rolling Stone waliandika:-
In re-recording her masters, Swift would be joining a small — but vocal — group of artists like JoJo and Def Leppard who have re-recorded hit songs in attempt to wrest control back from their record labels. Any re-records of Swift’s older songs would be competing directly for listeners (and royalty revenue) with the original recordings owned by Big Machine, unless Swift were to negotiate a deal to pull those original recordings offline.
Wametaja hapo wasanii wengine ambao wali-retaliate kwa sababu kimsingi, hawakuwa na ownership ya masters, bali ilikuwa inamilikiwa na labels zao! Sasa hicho ndicho hakutaka Diamond!

Na kama kumbukumbu zangu zipo sawa, nadhani tatizo kama hilo lilitokea kwa Michael Jackson chini ya hao hao Sony wa Ali Kiba!!
 
Back
Top Bottom