Diamond: Niliwatolea nje Roc Nation ya Jay-Z

Diamond: Niliwatolea nje Roc Nation ya Jay-Z

Wakati tetesi za Chibu kutoka na Zari zinaanza kusikika kuna watu wenye upeo kama wako nao walisema labda Zari wa Sinza.
Kwa watu ambao walikuwa hawamjuwi Zari labda, mimi binafsi namjuwa huyo toka analeta nyapu kuwauzia watu bongo na Seychelles. Kwahiyo kuwa na Mondi sikushangaa. Ila mondi kukataa kusign Roc Nation ahhh.. Unajuwa Roc Nation level yake wewe kweli? Nenda kasome ujuwe. Kick zingine mbayaaaa..

Sent from my SAMSUNG-SM-G935A using JamiiForums mobile app
 
Kwa watu ambao walikuwa hawamjuwi Zari labda, mimi binafsi namjuwa huyo toka analeta nyapu kuwauzia watu bongo na Seychelles. Kwahiyo kuwa na Mondi sikushangaa. Ila mondi kukataa kusign Roc Nation ahhh.. Unajuwa Roc Nation level yake wewe kweli? Nenda kasome ujuwe. Kick zingine mbayaaaa..

Sent from my SAMSUNG-SM-G935A using JamiiForums mobile app
HIYO SAMSUNG YAKO ITAKUWA MPYA NDIO MAANA UNA MIHEMKO KWENYE POST ZAKO[emoji4]
 
Kwa watu ambao walikuwa hawamjuwi Zari labda, mimi binafsi namjuwa huyo toka analeta nyapu kuwauzia watu bongo na Seychelles. Kwahiyo kuwa na Mondi sikushangaa. Ila mondi kukataa kusign Roc Nation ahhh.. Unajuwa Roc Nation level yake wewe kweli? Nenda kasome ujuwe. Kick zingine mbayaaaa..

Sent from my SAMSUNG-SM-G935A using JamiiForums mobile app
Duh! We jamaa una viroja ile mbaya manake unavyoizungumzia hiyo Roc Nation mtu anaweza kudhani ndiyo largest recording label duniani! Kwa taarifa yako, mtu mwenye akili timamu hawezi kukubali kuwa signed yeye kama yeye as artist kwenye recording label nyingine wakati na yeye ana label ya kwake! Unaposaini kwenye recording label as artist basi kuna uwezekano mkubwa sana, tena sana kwamba kazi utakazofanya zitakuwa copyrighted kwa hiyo recording label!! Sasa wewe na Uafrika wako huo huo tuseme una label yako ambayo ki-local local inaenda poa tu; ungekubali usainiwe wewe binafsi na sio label yako?!
 
Diamond Platnumz alitosa kusainishwa na label inayomilikiwa na Jay Z, Roc Nation

Akiongea kwenye kipindi cha The Playlist cha Times FM, staa huyo alisema hiyo ni moja tu ya label kubwa za Marekani alizozitolea nje. “Wakati nipo BET, Roc Nation walinifuata wakitaka wanisaini,” alisema Diamond.

“Acha Roc Nation kuna baadhi ya record label nyingi sana kubwa, nyingi sana, tena hawanifuati hivi hivi, wananifuata na ofa,” aliongeza.

“Lakini kila kitu ni target, mimi siku yoyote ukisikia nimefanya kazi na label kubwa duniani, sio kuwa under record label, ila pointi yangu itakuwa kwamba kuona namna gani wanaweza kukuza muziki wangu kidunia zaidi, nitafanya kila kitu mwenyewe. Kupata collabo na msanii yeyote mimi naweza kupata sababu Kimarekani collabo sio story, hela yako, ni biashara, mtu hawezi akakupa bure mfanye nyimbo ili upate hela, ukanye show yeye anafaidika na nini?”

Kingine Diamond alisema kama ni msanii mkubwa inakuwa rahisi kupata collabo za aina hiyo.

“Nataka mtu akinisaini, nataka muziki wangu uuzike kama wanavyouza akina Jay Z, Kanye West. Sitoingia eti Diamond kaingia na record label fulani, WCB itaingia na kampuni fulani na ikiingia ni katika makubaliano ya kuuza muziki katika digital kuona ni namna gani muziki wangu utauza sehemu fulani kwa bei nzuri.”
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Huyu [emoji205] anamjua JAY Z vzuri...
 
Binafsi naamini, tukiacha wivu na kujidharau, ukweli Diamond anashine sana, ananyota kali.. So far amafika mbali sana, na anatupeleka mbali sana.

Hivi utafananisha zama za hapo kati na hizi za kwake? Anabidii na Kazi yake, kuna kipindi alitangaza kua hafanyi kazi jukwaani bila 10mil kuna watu waliongea sana, ila leo wako wapi?

Ifike mahali tukubali kua tunazidiana, wewe ukijua mbele wenzako wanajua nyuma. Najua wengi wanabeza kwa kufikiria kua Jay Z ni Mungu flani hivi.

Kazana Diamond.. Utafika Mbali.. Hawa wa kutembea na bahasha za kaki achana nao
Jay z sio mungu flan mkuu,ila n zaid ya vjneno ulvoandika apa,jay z jay z jay zzzZ...
Tuwe serious watanzania,JAY Z huyu ambae mastaa kbao wa USA wakimuona tu wanababaika au jayz wa sinza...
Tuangalie na vya kutetea,..
Embu tafta vdep za jay z akfanya mikutano na wasanii wengne uone wanavotaman ht awape mkono
 
Yaani jamaa kuwa star instagram anajiona keshafika level ya juu watanzania shida kweli.
 
HIYO SAMSUNG YAKO ITAKUWA MPYA NDIO MAANA UNA MIHEMKO KWENYE POST ZAKO[emoji4]
Sorry. Simu yangu inahusiana nini hapo? Kweli wa Tanzania uwezo wetu wa kufikilia 1% na hii inasababishwa na watu kama wewe.
 
Kwanini tunaamini kuwa hii ni chai? Kuwa haiwezekani kabisa?
 
Kwa watu ambao walikuwa hawamjuwi Zari labda, mimi binafsi namjuwa huyo toka analeta nyapu kuwauzia watu bongo na Seychelles. Kwahiyo kuwa na Mondi sikushangaa. Ila mondi kukataa kusign Roc Nation ahhh.. Unajuwa Roc Nation level yake wewe kweli? Nenda kasome ujuwe. Kick zingine mbayaaaa..

Sent from my SAMSUNG-SM-G935A using JamiiForums mobile app
Hao Roc wana nini mkuu mbona wa kawaida sana 2pac mwenyewe alitaka kuondoka Death Row record ya Suge Knight baada ya kuona ananyonywa tu ..
 
Yeah kila mtu na perception yake, kwangu Jigga wa ROCNation sio mtu wa mchezo mchezo hivi.
Jigga ana kitu gani hana lolote zama zake zimeshapita kawa mfanyabiashara siku hizi anaenda mpaka nigeria kutafuta wasanii wa bei rahisi wa kuwasainisha kwenye label yake!
 
Jigga ana kitu gani hana lolote zama zake zimeshapita kawa mfanyabiashara siku hizi anaenda mpaka nigeria kutafuta wasanii wa bei rahisi wa kuwasainisha kwenye label yake!
In a nutshell Domo ana kick za kishamba na hakuna kitu kama hicho!...alijikurupusha LA airport akapiga pic na Kanye West, ilikuwa balaa hizo tambo zake insta, ijekuwa Jigga atake kumsainisha ndo aropoke leo. Moyo umegomaaaa
 
Davido Mwenyewe alikesha kujipendekeza kwa JAY Z ili tu arecord wimbo mmoja auze sauti yake US ila Jay Z kampotezea...iweje iwe easy kwa Diamond?

Sidhani aisee.
 
When I’m looking to your eyes Furaha yangu naiona Pressure unani-minimize Napougua napona (ni wewe) Ananichanganya (ni wewe) Asi kwa chanya (ni wewe) Anaenichanganya (ni wewe) Shibe yangu mama (ni wewe) Eh hee hee, hivyo hivyo Hivyo chunga tusije tengana Hivyo hivyo Taratibu tutafika mama
Na ngoma yako isakata Nakoma dance ukikata Sangoma wa nini nshanasa
 
Binafsi naamini, tukiacha wivu na kujidharau, ukweli Diamond anashine sana, ananyota kali.. So far amafika mbali sana, na anatupeleka mbali sana.

Hivi utafananisha zama za hapo kati na hizi za kwake? Anabidii na Kazi yake, kuna kipindi alitangaza kua hafanyi kazi jukwaani bila 10mil kuna watu waliongea sana, ila leo wako wapi?

Ifike mahali tukubali kua tunazidiana, wewe ukijua mbele wenzako wanajua nyuma. Najua wengi wanabeza kwa kufikiria kua Jay Z ni Mungu flani hivi.

Kazana Diamond.. Utafika Mbali.. Hawa wa kutembea na bahasha za kaki achana nao
Duhh braza unachoma masela wanaomaliza chuo kesho kutwa hivi hivi
 
Back
Top Bottom