Diamond Platinum hajui kuvaa wala sio mtu wa bata

Ila ushamba wake wa kutokujua kuvaaa ndio umemfikisha hapo alipo,hao wanaojua kuvaa sijui wamefika wap,na mbaya zaid unaposema bata,naiman bata halijawah msaidia mtu maisha asilan,cha muhim hao wanaokula bata weng wanakuja na gar na pamba za mikodisho,aache kulea wanae akale bata,,au umesahau kwamba yule ni baba wa watoto watano kwa sasa??? Wawil na wale watatu wa Ivan so wapo chini ya baba wa kambo,halaf akapoteze muda kula bata?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu mbona povu sana
 
vp mbona povu linakutoka?;ana date na mama yako?
 
Kwenda na fasheni za mavazi zinasaidia nini kama huna pesa? Cha msingi mtu kupiga pesa ya nguvu hizo fasheni ni mbwembwe, pesa ndio kila kitu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu mbona povu sana
Sio povu, kaongea ukweli. Bata ndio zimemfikisha Mr. Nice hapo alipo. The same kwa mastaa wengine. Kwa mujibu wa tweet za Diamond mwenyewe, kilichomfanya Diamond amwache Wema ni bata hizo hizo unazoongelea. Wema hapendi kuzalisha pesa, anapenda kutumia tu (bata). Kimsingi bata ziendane na kipato.
 
yale maplastiki na miwani ya watoto kwako ndo anajua kuvaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…