Diamond Platinum hajui kuvaa wala sio mtu wa bata

Diamond Platinum hajui kuvaa wala sio mtu wa bata

Hatimaye nawe leo umeanzisha uzi
Screenshot_2017-06-30-11-17-25.png

Screenshot_2017-06-30-11-17-21.png



Wewe hakuna mada hata moja uliyoianzisha ukapata views 2K wala replies zikafika 20 ,pole sana
 
Kikubwa mtonyo unaingia hayo mengine ni upuuzi tu.
 
Hizi tabia ya kuwadadavua wanaume wenzenu ni tabia za ki-shori...
Halafu wabongo tabia ya kukariri haitawaisha hivi nani kasema jux anatupia?
mimi binafsi sioni anachotupia zaidi ya kuiga Swagga za Starboy. sometimes
 
Msanii na mfanyabiashara maarufu Naseeb Abdul (Diamond Platinum) ingawa ni role model wa mabishoo wengi hapa mjini lakini tukisema tutaje watu wanaojua kutupia/ kunyonga/ kuvaa vizuri diamond hata 1000 bora hayupo

Kwa kutupia diamond kaachwa mbali sana na Jux

Pia hata swagger diamond hana ,hamfikii jux hata theluthi

Mbali na kutupia ,pia hata starehe Diamond bado yupo nyuma sana .

Diamond anachokiweza yeye ambacho hata mimi binafsi namsifia ni suala la biashara na kujitangaza kimataifa tu basi

Diamond ni mtu anayejua sana kuitumia fursa ipasavyo ,huwa hafanyi makosa kwenye sekta hiyo .

Kujua kuvaa kuliko kutafuta pesa ni ubashite wa kimataifa
 
If they ain't hating, just know it aint good...
 
Hizi tabia ya kuwadadavua wanaume wenzenu ni tabia za ki-shori...
Halafu wabongo tabia ya kukariri haitawaisha hivi nani kasema jux anatupia?
mimi binafsi sioni anachotupia zaidi ya kuiga Swagga za Starboy. sometimes
Ok
 
Sasa hao mabishoo wanamuigaje kama hajui kutupia na kwa upande wa bata naomba ufatilie vizuri
 
Hilo la mwisho ndo la msingi mengine yote upupu usio na tija kwa Tanzania ya leo.
 
Msanii na mfanyabiashara maarufu Naseeb Abdul (Diamond Platinum) ingawa ni role model wa mabishoo wengi hapa mjini lakini tukisema tutaje watu wanaojua kutupia/ kunyonga/ kuvaa vizuri diamond hata 1000 bora hayupo

Kwa kutupia diamond kaachwa mbali sana na Jux

Pia hata swagger diamond hana ,hamfikii jux hata theluthi

Mbali na kutupia ,pia hata starehe Diamond bado yupo nyuma sana .

Diamond anachokiweza yeye ambacho hata mimi binafsi namsifia ni suala la biashara na kujitangaza kimataifa tu basi

Diamond ni mtu anayejua sana kuitumia fursa ipasavyo ,huwa hafanyi makosa kwenye sekta hiyo .
Mkuu wewe ni Team WCB, tena katibu wa itikadi na uenezi, leo unamponda boss wenu...vipi?
 
Sio povu, kaongea ukweli. Bata ndio zimemfikisha Mr. Nice hapo alipo. The same kwa mastaa wengine. Kwa mujibu wa tweet za Diamond mwenyewe, kilichomfanya Diamond amwache Wema ni bata hizo hizo unazoongelea. Wema hapendi kuzalisha pesa, anapenda kutumia tu (bata). Kimsingi bata ziendane na kipato.

Hebu elewa mada ndo mana mnapata sup vyuoni ,hujaambiwa mafanikio au kutafuta pesa ,hapa inaongelewa Diamond hajui kuvaa ,kwahiyo kanusha au tetea .Kama pesa hata kina Mo dewj wanazo lakini hatuwezi sema Mo anajua kuvaa kisa anapesa

Ukweli mchungu ,Diamond anapesa ila bado mshamba wa Koromije ,huwezi mfananisha na watoto wa mjini kina AY kwenye sekata ya bata.Starehe ya Diamond ni kukamua K tu
 
Hebu elewa mada ndo mana mnapata sup vyuoni ,hujaambiwa mafanikio au kutafuta pesa ,hapa inaongelewa Diamond hajui kuvaa ,kwahiyo kanusha au tetea .Kama pesa hata kina Mo dewj wanazo lakini hatuwezi sema Mo anajua kuvaa kisa anapesa

Ukweli mchungu ,Diamond anapesa ila bado mshamba wa Koromije ,huwezi mfananisha na watoto wa mjini kina AY kwenye sekata ya bata.Starehe ya Diamond ni kukamua K tu
Sasa hiyo starehe ya "kukamua K" si ndo starehe namba moja duniani kwa kila mwanamme rijali! lbd uwe mwanaume mwenye matatizo ya Penis Challenged Person![emoji2]
 
Back
Top Bottom