AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,047
Wakuu japokuwa sina uhakika sana kama yule mpopo Davido kama alishiriki kwenye tuzo hizi,
lakini the comfirmed news hadi sasa Diamond kashinda Kora Music Awards, kama the best male Artist in East Africa 2014 through his hit song My number 1 na kakabidhiwa certificate ya Kora awards inayorecognize ushindi wake.
Hongera kijana Dangote.
Sasa huyo Davido na East Africa wapi na wapi!?
Kwa East Africa jamaa anachukua kiulaini tu.
Ila kwa sasa mziki wake bado haujafikia level ya wanamuziki wakubwa wa Africa kama Davido, PP na mafikizolo. Kwa kuwa Diamond anajituma na ana nidhamu ktk kazi yake, akiendelea kukaza atafika mbali sana.
Tuzo hazilazimishiki kwa idadi ya kura za hamasa, bali ni kuimba vizuri kuliko washindani wako.
Keep it up Diamond, utafika tu
kwani ukisubiri mpaka upate habari kamili kisha uje uibandike hapa je utabadilika jinsia?
Dah huu sijui niuite umbea, upashkuna au ushambenga?
Wakuu japokuwa sina uhakika sana kama yule mpopo Davido kama alishiriki kwenye tuzo hizi,
lakini the comfirmed news hadi sasa Diamond kashinda Kora Music Awards, kama the best male Artist in East Africa 2014 through his hit song My number 1 na kakabidhiwa certificate ya Kora awards inayorecognize ushindi wake.
Hongera kijana Dangote.
zile tuzo za kora award zimeshafanyika kule sun city south Africa? mimi hapa umenikoroga.
So sio kashinda Kora Music Award ni kuwa kwenye top 20 ya clouds ooh sorry ya Kora kwa week 13.Tumekupata tulishapewa matango mwitu hivyo.Ni sababu ya kuwa top 20 kwa wiki 13 mfululizo ndugu
ndio mkuu zimeshafanyika ila zimebaki tuzo za Afrimama.
Matola wanayo isemea hawa ni hii certificate....zimefanyika lini? na mbona zile tuzo huwa zinatolewa ukumbini hata bwana tajili wa itv mengi aliwahi kualikwa kutoa zile tuzo? hivi ni nini kinaendelea hapa?
zimefanyika lini? na mbona zile tuzo huwa zinatolewa ukumbini hata bwana tajili wa itv mengi aliwahi kualikwa kutoa zile tuzo? hivi ni nini kinaendelea hapa?
zimefanyika lini? na mbona zile tuzo huwa zinatolewa ukumbini hata bwana tajili wa itv mengi aliwahi kualikwa kutoa zile tuzo? hivi ni nini kinaendelea hapa?
Mkuu kwani kila jambo linalofanyika lazima ujue,? Zoezi la KORA AWARDS limemalizika jana na Kijana Diamond kakabidhiwa special certificate.