Aiseee sipost tena thread inayomuhusu Diamond maana naona raia wana hasira sana na huyu jamaa, heaven on desert huwa una kazi nzito ndugu yangu..
nimeicheki ndio maana nikaiweka humu ni certicate ya achievement kwa kukaa mara 13 mfululizo kwenye top 20 yao mleta mada kaichanganya na tuzo ila tuzo haziwi hivi. hili ndilo tatizo tunalolipigia kelele humu hawa waleta habar zake humu hawaaminiki ndio maana ilibidi nikaitafute nikaipata kwenye page ya fetty insta nakugundua kuwa sio tuzo.. nikaidownload nije niiweke humu, maana sikuiz PRO wa diamond wakileta habar humu kamwe hatutaziamini lazima tuzi hariri... i wonder huyu HOD na wenzie hawakomi tu kutuletea uongo humu.
tunamsubili shujaa wetu, tender ya kusupply tshirt msinisahau nimeshaanza kuziprint kabisa. bei ni ya kizalendo buku 10 tu.
Haya banah...Na yule mbwa aliyetembea naye ufukweni nadhani angepewa degree ya heshima kwa kuwa hatw JK hajawahi kufanya hivyo...Pia afikiriwe na ka-PHD ka heshima basiiiiii!!!
ni kile alichopewa na kampuni ya kora kiitwacho cheti cha kora tuzo ya muziki(kora music award certificate) sasa kijana geto kwake atakua na jumla ya idadi ya vyeti viwili kama si vitatu tukianzia na kile cha darasa la saba, iki cha kola na form 4 sina hakika, vingine kama vya casfeta,tycs, usafi shuleni,kiongozi bora shuleni au tamsa kwa hakika ofisi yetu imethibitishiwa hana.........hongera sana diamond platnum kwa kujishindia tuzo ya american dog....ofisi inakuandalia mapokezi mazito air port...
Wakuu japokuwa sina uhakika sana kama yule mpopo Davido kama alishiriki kwenye tuzo hizi,
lakini the comfirmed news hadi sasa Diamond kashinda Kora Music Awards, kama the best male Artist in East Africa 2014 through his hit song My number 1 na kakabidhiwa certificate ya Kora awards inayorecognize ushindi wake.
Hongera kijana Dangote.
ni kile alichopewa na kampuni ya kora kiitwacho cheti cha kora tuzo ya muziki(kora music award certificate) sasa kijana geto kwake atakua na jumla ya idadi ya vyeti viwili kama si vitatu tukianzia na kile cha darasa la saba, iki cha kola na form 4 sina hakika, vingine kama vya casfeta,tycs, usafi shuleni,kiongozi bora shuleni au tamsa kwa hakika ofisi yetu imethibitishiwa hana.........hongera sana diamond platnum kwa kujishindia tuzo ya american dog....ofisi inakuandalia mapokezi mazito air port...
ni kile alichopewa na kampuni ya kora kiitwacho cheti cha kora tuzo ya muziki(kora music award certificate) sasa kijana geto kwake atakua na jumla ya idadi ya vyeti viwili kama si vitatu tukianzia na kile cha darasa la saba, iki cha kola na form 4 sina hakika, vingine kama vya casfeta,tycs, usafi shuleni,kiongozi bora shuleni au tamsa kwa hakika ofisi yetu imethibitishiwa hana.........hongera sana diamond platnum kwa kujishindia tuzo ya american dog....ofisi inakuandalia mapokezi mazito air port...
mi kuanzia leo uzi wa daimond sichangii maana nshaona wanatafta kiki
ni kile alichopewa na kampuni ya kora kiitwacho cheti cha kora tuzo ya muziki(kora music award certificate) sasa kijana geto kwake atakua na jumla ya idadi ya vyeti viwili kama si vitatu tukianzia na kile cha darasa la saba, iki cha kola na form 4 sina hakika, vingine kama vya casfeta,tycs, usafi shuleni,kiongozi bora shuleni au tamsa kwa hakika ofisi yetu imethibitishiwa hana.........hongera sana diamond platnum kwa kujishindia tuzo ya american dog....ofisi inakuandalia mapokezi mazito air port...
Huyu hakosi kacheti ka angaza