Diamond Platinumz ameamua sasa kuuza karanga

Watanzania acheni ushamba wa kuamini kila kitu mnacho ambiwa na hao matapeli mafreemason. Hizi karanga zipo sokon mwaka wa pili huu sasa angalia tarehe hapo chini afu anawadanga kuwa kampuni yake kisa tu imeandikwa diamond si aseme tu kama ni tangazo? Dalili za kuishiwa ndio hizo sasa.
 
Hizi karanga zilikufa kabisa naona kama yy ameamua kuzifufua
 
biashara ya vitu vidogo vidogo hivi vya mia mbili tatu ndo vinawaletea watu utajiri mkubwa sana,sema wengi hawajuagi tu,kuna kanuni flani ya biashara nliwahi soma sehemu kuhusu hilo sikumbuki,mtaalamu wa biashara atanisaidia hapa.huyu mond miaka michache atakuwa daraja tofauti sana.hongera kwa wale waliomfanya awe mtu mkubwa.hawaonekani hawa,wako nyuma ya pazia.MNAFANYA VIZURIIIIII
 
Nimrmkubali Diamond na anayemshauri wako njema sana!

Kama akiweza kutuwekea kakiwanda kamoja hivi itakuwa bomba sana.

I respect you !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…