Diamond Platinumz ameamua sasa kuuza karanga

Diamond Platinumz ameamua sasa kuuza karanga

PRINCE PRIS

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2015
Posts
347
Reaction score
587
Ubuyu wote uko hapa
f4b72c633dc66fcbe664345539b15716.jpg


4c4453681c643a8e3399cc32dbc1b259.jpg
 
Watanzania acheni ushamba wa kuamini kila kitu mnacho ambiwa na hao matapeli mafreemason. Hizi karanga zipo sokon mwaka wa pili huu sasa angalia tarehe hapo chini afu anawadanga kuwa kampuni yake kisa tu imeandikwa diamond si aseme tu kama ni tangazo? Dalili za kuishiwa ndio hizo sasa.
49fac24383ef061470748956a57c43ab.jpg
 
Watanzania acheni ushamba wa kuamini kila kitu mnacho ambiwa na hao matapeli mafreemason. Hizi karanga zipo sokon mwaka wa pili huu sasa angalia tarehe hapo chini afu anawadanga kuwa kampuni yake kisa tu imeandikwa diamond si aseme tu kama ni tangazo? Dalili za kuishiwa ndio hizo sasa.
49fac24383ef061470748956a57c43ab.jpg
Hizi karanga zilikufa kabisa naona kama yy ameamua kuzifufua
 
biashara ya vitu vidogo vidogo hivi vya mia mbili tatu ndo vinawaletea watu utajiri mkubwa sana,sema wengi hawajuagi tu,kuna kanuni flani ya biashara nliwahi soma sehemu kuhusu hilo sikumbuki,mtaalamu wa biashara atanisaidia hapa.huyu mond miaka michache atakuwa daraja tofauti sana.hongera kwa wale waliomfanya awe mtu mkubwa.hawaonekani hawa,wako nyuma ya pazia.MNAFANYA VIZURIIIIII
 
Nimrmkubali Diamond na anayemshauri wako njema sana!

Kama akiweza kutuwekea kakiwanda kamoja hivi itakuwa bomba sana.

I respect you !
 
Back
Top Bottom