MarkHilary
JF-Expert Member
- Feb 8, 2015
- 1,813
- 2,188
Naipenda Sana Jf Haisemagi UwongoWatanzania acheni ushamba wa kuamini kila kitu mnacho ambiwa na hao matapeli mafreemason. Hizi karanga zipo sokon mwaka wa pili huu sasa angalia tarehe hapo chini afu anawadanga kuwa kampuni yake kisa tu imeandikwa diamond si aseme tu kama ni tangazo? Dalili za kuishiwa ndio hizo sasa.
Maneno ya kiwivu wivu.Chibu perfume sio za Diamond,pale kauza jina na anatumia kuibrand.
Maneno ya kiwivu wivu.
Lemutuz banaSafi sana sana
Najipanga hii lazma nimuige Kudadeki but kwa bidhaa nyingine kabisa sio karanga..... stay tuned!!Ubuyu wote uko hapa
Duh.Hapana,ni za Kusaga.
Huyu kwisha habari yake haji juu tena kwenye ulimwengu wa musicWatanzania acheni ushamba wa kuamini kila kitu mnacho ambiwa na hao matapeli mafreemason. Hizi karanga zipo sokon mwaka wa pili huu sasa angalia tarehe hapo chini afu anawadanga kuwa kampuni yake kisa tu imeandikwa diamond si aseme tu kama ni tangazo? Dalili za kuishiwa ndio hizo sasa.
Huyu kwisha habari yake haji juu tena kwenye ulimwengu wa music
Ndo taaabu!Hazina chapa 666 au fuvu la kichwa cha binadamu mkuu?
[emoji54][emoji2][emoji54]Ali Kiba anazo karanga zake mda mrefu tu sema hapendi show off