Diamond Platinumz ameamua sasa kuuza karanga

Diamond Platinumz ameamua sasa kuuza karanga

Watanzania acheni ushamba wa kuamini kila kitu mnacho ambiwa na hao matapeli mafreemason. Hizi karanga zipo sokon mwaka wa pili huu sasa angalia tarehe hapo chini afu anawadanga kuwa kampuni yake kisa tu imeandikwa diamond si aseme tu kama ni tangazo? Dalili za kuishiwa ndio hizo sasa.
49fac24383ef061470748956a57c43ab.jpg
Naipenda Sana Jf Haisemagi Uwongo
 
Nice move
Watanzania achen majungu
Mbona boss wa azam aliuza chapat na unaheshmu
Acheni ujinga na wivu
 
Watanzania acheni ushamba wa kuamini kila kitu mnacho ambiwa na hao matapeli mafreemason. Hizi karanga zipo sokon mwaka wa pili huu sasa angalia tarehe hapo chini afu anawadanga kuwa kampuni yake kisa tu imeandikwa diamond si aseme tu kama ni tangazo? Dalili za kuishiwa ndio hizo sasa.
49fac24383ef061470748956a57c43ab.jpg
Huyu kwisha habari yake haji juu tena kwenye ulimwengu wa music
 
hizo karanga ziko sokoni long kidogo
d7451980200d1c6567e526028f477326.jpg


nmezitafuna kama mwezi wa4 hivi nilavipenda. kilichonifanya nipige picha nilicheka mama angu aliponiletea mtu mzima kama mimi hio karanga kisa mziwanda[emoji1] [emoji1]
 
Hapa ndipo.ninapo amini kwamba chibu pafyumu sio yake.
NI MTANGAZA BIASHARA ZA WATU.
 
congrates kwake....chibu perfume sio zimebuma kwani bakhresa na viwanda vingapi...au dewji ana viwanda vingapi....hapo anatengeneza wigo kila kona kwa ajili ya kujipatia ujira
 
Mwenzenu anaingiza hela nyinyi mnakaa kumcheka
Akiuza kantoni 1000 kila siku ana uhakika wa 20mil kwa mwezi hakosi 200mil hapo kabla ya kodi
 
Back
Top Bottom