Diamond Platinumz ameamua sasa kuuza karanga

Muziki ushamshinda,watoto 5 sasa anao mlitaka afanye nini?
 
Mwenzenu anaingiza hela nyinyi mnakaa kumcheka
Akiuza kantoni 1000 kila siku ana uhakika wa 20mil kwa mwezi hakosi 200mil hapo kabla ya kodi
20*30=200
 
waha kwa biashara za karanga,kahawa na kashata wako vizuri mchikichini wamejaa sasa huyu atakuwa anadumisha mila.
 
hizo karanga ziko sokoni long kidogo


nmezitafuna kama mwezi wa4 hivi nilavipenda. kilichonifanya nipige picha nilicheka mama angu aliponiletea mtu mzima kama mimi hio karanga kisa mziwanda[emoji1] [emoji1]
mash allah princess.
 
Hongera Diamond, ndivyo inahita "KUIZUNGUUSHA"
 
Ana mpango wa kutulaza njaa..

Sisi biashara ya Karanga ndio inatuwezesha kumudu gharama za maisha...!!

Kama biashara ameingia huyu freemason, sina hakika tena na soko la wateja wangu, ndio wakati wa kurudi Shamba/Kijijini huu.
 
Hahah eti anashindana na wauza ubuyu wa Shilawadu under sponsorship of Baba mlezi wa WCB bwn Bashite.
 
Atanyooka tu,mziki umekaba,tra nao wanakaba
 
Ulikuwa hujui mkuu iyo nchi ni ya mang'ombe , kila kitu kwao ni kupongeza au kupinga bila kuwa na full data
 
Acha roho mbaya. Ndio maana masikini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…