Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Staa wa muziki Bongo, Diamond Platinumz leo amekutana na Ramadhani Kasawa maarufu Kama 'Mzee Makosa' ambaye alitamani Kukutana nae baada ya kutazama interview yake kwenye mitandao ya Kijamii akielezea namna alivyofilisika kutoka kwenye Utajiri wakutupwa aliokua nao.
Soma, Pia: Anaefahamu Makosa, aliyekuwa tajiri mkubwa Iringa mwambieni Diamond Platnumz anamtafuta ampe sadaka yake
Diamond kutokana na Kuguswa na Mahojiano Hayo ya Mzee Makosa alitamani Kukutana na Kuzungumza nae Pamoja na Kumshika Mkono kwa Chochote atakachokua amejaliwa.
Hivyo Mapema Leo ameweza kufanikiwa kukutana na Mzee huyu Maarufu kutokea Mkoani Iringa, ambapo Licha ya Kupata wasaa wa kuzungumza nae kuhusu Maisha Lakini Pia ameweza Kumshika Mkono kwa Kumpatia Kiasi Cha Tsh. Milioni 10.
Diamond kutokana na Kuguswa na Mahojiano Hayo ya Mzee Makosa alitamani Kukutana na Kuzungumza nae Pamoja na Kumshika Mkono kwa Chochote atakachokua amejaliwa.
Hivyo Mapema Leo ameweza kufanikiwa kukutana na Mzee huyu Maarufu kutokea Mkoani Iringa, ambapo Licha ya Kupata wasaa wa kuzungumza nae kuhusu Maisha Lakini Pia ameweza Kumshika Mkono kwa Kumpatia Kiasi Cha Tsh. Milioni 10.