Diamond Platinumz ampa milioni 10 Mzee Makosa, aliyekuwa tajiri mkubwa Iringa na kufilisika

Diamond Platinumz ampa milioni 10 Mzee Makosa, aliyekuwa tajiri mkubwa Iringa na kufilisika

Mzee makosa mwenyewe amesema m10 anaenda kupandia miti............. Makosa juu ya Makosa
Amenifurahisha sana hilo wazo lake. Anaenda kufukia pesa kwa ajili ya urithi wa watoto. 🤣🤣🤣
 
Jamaa anapenda kiki mno
Humkuti akimsaidia baba yake mzazi aliyemtoa kwenye kiuno chake kwa sababu anajua hakutakuwa na macamera.

Yule mzee anaumwa miguu yupo soko la Magomeni asiende kumpa angalao mtaji wa kufanya biashara inayoeleweka anaenda kusaidia watu waliofilisika zamani.
 
Humkuti akimsaidia baba yake mzazi aliyemtoa kwenye kiuno chake kwa sababu anajua hakutakuwa na macamera.

Yule mzee anaumwa miguu yupo soko la Magomeni asiende kumpa angalao mtaji wa kufanya biashara inayoeleweka anaenda kusaidia watu waliofilisika zamani.
Mondi baba yake mzazi alisha fariki miaka mingi sana.
Muache afanye lile nafsi yake ina farijika.
 
Humkuti akimsaidia baba yake mzazi aliyemtoa kwenye kiuno chake kwa sababu anajua hakutakuwa na macamera.

Yule mzee anaumwa miguu yupo soko la Magomeni asiende kumpa angalao mtaji wa kufanya biashara inayoeleweka anaenda kusaidia watu waliofilisika zamani.

mkuu unatafuta matusi kwa machawa wake
 
Akizingua na hio anafilisika.
Hahaaaa, mwenzangu na mimi ukipoteza elf 50 tu umefilisika.
Anasema anaenda panda miti ,yaani huo ushauri nani kampa au mawazo yake ayabadilishe ,aizalishe hio hela faida ndio apandie miti.
 
Humkuti akimsaidia baba yake mzazi aliyemtoa kwenye kiuno chake kwa sababu anajua hakutakuwa na macamera.

Yule mzee anaumwa miguu yupo soko la Magomeni asiende kumpa angalao mtaji wa kufanya biashara inayoeleweka anaenda kusaidia watu waliofilisika zamani.
Kama baba yake alikuwa hamtaki?

Mimi miaka hio nilimtafutaga mzazi wangu lakini alinikimbia ,sasa leo nianze kujipeleka kumsaidia ? labda kama namsaidia kama mtu baki tu.

Diamond amsaidie kama mtu baki tu kiubinadamu
 
Huyu mzee miaka ya 2007 alikuwa na mgahawa pale jirani na maktaba kuu, alikuwa anazaa na wafanyakazi wake, kila akiajiri pisi lazima iwe yake kwanza sisi tulikuwa tunakula makombo tu.
Alikuwq na vyombo vya muziki nakumbuka walikuwa wanafanya mazoezi siku moja hawakuwa na muimbaji nikajitosa kuimba Dunia tunapita ya samba mapangala na vile wale wanamuziki nilikuwa nikienda pale luxury bar siku wanapiga napanda kwa stage kuimba copy kumbe wakamwambia mchukue huyu bendi itasimamaa aliponiomba nibaki atanilipa nikaja zangu dar sikurudi tena ila Waliona kipaji changu nami nikapotezea labda leo ningekuwa mbali sana Big up modi
Hahaaaaaa kumbe ni wewe?😀😀
 
Staa wa muziki Bongo, Diamond Platinumz leo amekutana na Ramadhani Kasawa maarufu Kama 'Mzee Makosa' ambaye alitamani Kukutana nae baada ya kutazama interview yake kwenye mitandao ya Kijamii akielezea namna alivyofilisika kutoka kwenye Utajiri wakutupwa aliokua nao.

Soma, Pia: Anaefahamu Makosa, aliyekuwa tajiri mkubwa Iringa mwambieni Diamond Platnumz anamtafuta ampe sadaka yake

Diamond kutokana na Kuguswa na Mahojiano Hayo ya Mzee Makosa alitamani Kukutana na Kuzungumza nae Pamoja na Kumshika Mkono kwa Chochote atakachokua amejaliwa.

Hivyo Mapema Leo ameweza kufanikiwa kukutana na Mzee huyu Maarufu kutokea Mkoani Iringa, ambapo Licha ya Kupata wasaa wa kuzungumza nae kuhusu Maisha Lakini Pia ameweza Kumshika Mkono kwa Kumpatia Kiasi Cha Tsh. Milioni 10.
That's perfect successful life
 
Back
Top Bottom