King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Lambert hapo yupo kama meneji wa mzee Makosa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu wenu waislam kakataza kila kituMungu amekataza Ria, hiyo ni ria, alikuwa na uwezo wa kumpa kimya kimya bila ya camera
Amenifurahisha sana hilo wazo lake. Anaenda kufukia pesa kwa ajili ya urithi wa watoto. 🤣🤣🤣Mzee makosa mwenyewe amesema m10 anaenda kupandia miti............. Makosa juu ya Makosa
🤣🤣🤣Kampe wewe kimya kimya... Kwa Nini unapata shida MKUU.
Una chuki mno kijana mzee makosa wamemjua kupitia media kwanini msaada uwe siri kama ingekuwa ni hivyo asingetoa story yake kwenye vyombo vya habariCHawa umefika
Humkuti akimsaidia baba yake mzazi aliyemtoa kwenye kiuno chake kwa sababu anajua hakutakuwa na macamera.Jamaa anapenda kiki mno
Mondi baba yake mzazi alisha fariki miaka mingi sana.Humkuti akimsaidia baba yake mzazi aliyemtoa kwenye kiuno chake kwa sababu anajua hakutakuwa na macamera.
Yule mzee anaumwa miguu yupo soko la Magomeni asiende kumpa angalao mtaji wa kufanya biashara inayoeleweka anaenda kusaidia watu waliofilisika zamani.
Humkuti akimsaidia baba yake mzazi aliyemtoa kwenye kiuno chake kwa sababu anajua hakutakuwa na macamera.
Yule mzee anaumwa miguu yupo soko la Magomeni asiende kumpa angalao mtaji wa kufanya biashara inayoeleweka anaenda kusaidia watu waliofilisika zamani.
Anasema anaenda panda miti ,yaani huo ushauri nani kampa au mawazo yake ayabadilishe ,aizalishe hio hela faida ndio apandie miti.Akizingua na hio anafilisika.
Hahaaaa, mwenzangu na mimi ukipoteza elf 50 tu umefilisika.
Kama baba yake alikuwa hamtaki?Humkuti akimsaidia baba yake mzazi aliyemtoa kwenye kiuno chake kwa sababu anajua hakutakuwa na macamera.
Yule mzee anaumwa miguu yupo soko la Magomeni asiende kumpa angalao mtaji wa kufanya biashara inayoeleweka anaenda kusaidia watu waliofilisika zamani.
Hilo ni suala la imani, siwezi ingilia.Mungu amekataza Ria, hiyo ni ria, alikuwa na uwezo wa kumpa kimya kimya bila ya camera
Hahaaaaaa kumbe ni wewe?😀😀Huyu mzee miaka ya 2007 alikuwa na mgahawa pale jirani na maktaba kuu, alikuwa anazaa na wafanyakazi wake, kila akiajiri pisi lazima iwe yake kwanza sisi tulikuwa tunakula makombo tu.
Alikuwq na vyombo vya muziki nakumbuka walikuwa wanafanya mazoezi siku moja hawakuwa na muimbaji nikajitosa kuimba Dunia tunapita ya samba mapangala na vile wale wanamuziki nilikuwa nikienda pale luxury bar siku wanapiga napanda kwa stage kuimba copy kumbe wakamwambia mchukue huyu bendi itasimamaa aliponiomba nibaki atanilipa nikaja zangu dar sikurudi tena ila Waliona kipaji changu nami nikapotezea labda leo ningekuwa mbali sana Big up modi
That's perfect successful lifeStaa wa muziki Bongo, Diamond Platinumz leo amekutana na Ramadhani Kasawa maarufu Kama 'Mzee Makosa' ambaye alitamani Kukutana nae baada ya kutazama interview yake kwenye mitandao ya Kijamii akielezea namna alivyofilisika kutoka kwenye Utajiri wakutupwa aliokua nao.
Soma, Pia: Anaefahamu Makosa, aliyekuwa tajiri mkubwa Iringa mwambieni Diamond Platnumz anamtafuta ampe sadaka yake
Diamond kutokana na Kuguswa na Mahojiano Hayo ya Mzee Makosa alitamani Kukutana na Kuzungumza nae Pamoja na Kumshika Mkono kwa Chochote atakachokua amejaliwa.
Hivyo Mapema Leo ameweza kufanikiwa kukutana na Mzee huyu Maarufu kutokea Mkoani Iringa, ambapo Licha ya Kupata wasaa wa kuzungumza nae kuhusu Maisha Lakini Pia ameweza Kumshika Mkono kwa Kumpatia Kiasi Cha Tsh. Milioni 10.