rajabu seleman
Member
- Feb 15, 2018
- 15
- 2
Kila MTU anasababu yakufanya anachokifanya kwan hawajui sababu y a wasaani wengine kuwa ivo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watanzania wengine mpaka saiz hawajui kuwa ruge kafariki na pengine hawajawahi kumsikia, So watu wanaohoji why diamond hajapost au kwenda sioni umuhimu wake kwenye msiba, mpaka Sasa hatua mbalimbali zimeshachukuliwa kwenda kumpumzisha Marehemu Ruge Bila ushiriki wowote au kupost kwa diamond,
Kumpost au kutompost mtu thats personal decision, hujui Nini kinamfanya asipost na pengine akisema sababu ya kutompost huwezi jua pengine hata msiba unawezagawanyika. Ninachojua sio diamond tu Bali kunawatanzania wengi mpaka saiz hawajafanya ivo, usione wewe umepost ukaanza kuhoji na jirani kwa nin hajafanya ivo.
Umepost because of your own feelings, na mwingine hatapost because of his/her feelings
YES WE ARE NOT PERFECT, ITS KNOWN TO EVERYONE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wameumbuka Mara baada ya jamaa kwenda wameanza kutafuta madongo mengine kwenye suti,kwenda na walinzi, kuchelewa na kutokuficha sura Kama alikiba.Na pia ana busara Sana ndo maana amemwacha na mama ake aende msibani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwafuatilia wote wanaomponda Diamond humu mitandaoni utawakuta wana sifa moja inayofanana.....
Kuna mtu aliwahi sema Sometimes Common sense is not common ,yaani umeongea ukweli and plain ,Account ya Diamond sio ya jamii ni ya kwake anaruhusiwa hata kupost sherehe ,pili Diamond na Ruge sio ndugu ,jamaa wala marafiki ,wanachoshare ni kuwa vijana maarufu kwa tasnia ya burudani na habari basii ,so huu sio msiba mkubwa kwa Diamond infact angefariki jirani yake kule madale ingekuwa msiba mkubwa sana kwa familia yake kuliko huu.Kuna watanzania wengine mpaka saiz hawajui kuwa ruge kafariki na pengine hawajawahi kumsikia, So watu wanaohoji why diamond hajapost au kwenda sioni umuhimu wake kwenye msiba, mpaka Sasa hatua mbalimbali zimeshachukuliwa kwenda kumpumzisha Marehemu Ruge Bila ushiriki wowote au kupost kwa diamond,
Kumpost au kutompost mtu thats personal decision, hujui Nini kinamfanya asipost na pengine akisema sababu ya kutompost huwezi jua pengine hata msiba unawezagawanyika. Ninachojua sio diamond tu Bali kunawatanzania wengi mpaka saiz hawajafanya ivo, usione wewe umepost ukaanza kuhoji na jirani kwa nin hajafanya ivo.
Umepost because of your own feelings, na mwingine hatapost because of his/her feelings
YES WE ARE NOT PERFECT, ITS KNOWN TO EVERYONE.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lilikuwa wapi ile ni mashindano ya kibiashara yaani leo voda ifilisike unadhani Tigo watatoa pole ,ugomvi wa kibiashara ni ugomvi wa kimaendeleoDiamond hana pakutokea katika hili bora asiende msibani na aendelee kukaa kimya,
ile video yake anacheka huku ameshikilia chupa ya pepsi baada ya fiesta kuahirishwa ime maliza kila kitu.
nadhan hata watangazaji wa clouds watamuona mnafiki akienda maana alionyesha dharau kubwa sana,
Ruge alikuwa ni mtu anaekuvuta kama kuna kitu kakiona kwako. Akishakutumia hana tena muda na wewe.Diamond ni mtu mkubwa kuzidi ruge....ila ruge alikuwa na ubaguz sana huyo jamaa....aliweka nguvu kwa mapunga alaf vipaj akavizima...kwa nguvu ya ruge isingekuwa mond kupitia mlango wa nyuma sa hv angekuwa hata hasikiki....Ruge kafanya safar ya mziki ya Mond iwe ya hustling sana..
asiende tu msiban mana atazua kizaazaa watu wanaweza kutelekez Maiti na kumkimbilia mzee mond...kizizi cha mond ni amsha sana
Mtu mkubwa kwako au kwa wengine? MTU mkubwa Jana kakosa hata kiti kapigwa jua kama muuza mayai?Diamond ni mtu mkubwa kuzidi ruge....ila ruge alikuwa na ubaguz sana huyo jamaa....aliweka nguvu kwa mapunga alaf vipaj akavizima...kwa nguvu ya ruge isingekuwa mond kupitia mlango wa nyuma sa hv angekuwa hata hasikiki....Ruge kafanya safar ya mziki ya Mond iwe ya hustling sana..
asiende tu msiban mana atazua kizaazaa watu wanaweza kutelekez Maiti na kumkimbilia mzee mond...kizizi cha mond ni amsha sana