Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Waue waue.....wewe do President wa Bongo Musics,et wanamwita King...hahaha...utawala wa kifalme ulikua zamaaani lakini sasa hivi urais ndo habari ya mjini.
The Dr 3 Diamonds.....Nenda ukamwambie....tatizo kwetu mbagala.....Nitarejea....uwiiiii.....shida kweli....sisi hatujui Cindellera ni nani na hatujui km asharudi kwao kigoma....
Basi ngoja Mwana aje atuoneshe how to do Ngololo....just mdogomdogo tu mwana..au hujui utampataje?...Hahahah....ni rahisi sana jaribu kutofautisha "X" na kuzidisha...Msalaba na kujumlisha....Mwana ujui huyu ni raisi aliyemshinda Ibilisiiiiiiii.......
 

Hahahahaha pole bhna bila shaka upo kwenye kamtaa ka kariakoo ndani ndani huko.....hehehehe toka nje uone dunia ilivyo na wasanii waliopo tanzania
 

duuuuh you made my day
 
Hahahahaha pole bhna bila shaka upo kwenye kamtaa ka kariakoo ndani ndani huko.....hehehehe toka nje uone dunia ilivyo na wasanii waliopo tanzania

Mkuu leo nitajaribu kwenda mtaa wa pili, nikaangalie kama naweza experience the difference, mana hii hali imenichosha.
 
Mkuu vyema ungetumia neno la busara kidogo maana hili neno''AMCHOKONOA''wngn wanaweza wakalichukulia ndivyo sivyo
 

ukiwasha tv unamuona ali k kupitia nyimbo gan nakshi mrembo au macmuga?
 

Wewe ndie unaanza kuwachonganisha Ally na Mond.
Kunatofauti kubwa kati ya jinsi ulivyo weka kianzio cha habari na habari kamili.
Sioni ugumu kusema umeileta kiudaku (news) zaidi.
Nakushauri ku- think positive and achana na mawazo hasi
 
ukiwasha tv unamuona ali k kupitia nyimbo gan nakshi mrembo au macmuga?

far away, dushelele, kidela n.k Pia kuna pini lake nimeliona leo asubuhi linaitwa "sex mama" jamaa humo kaimba kwa lugha ya malkia kama r kely vile.
 
sijaona tatizo hapo. lakini diamond anatakiwa aache nyodo
 
Ujue mfuta vumbi alikosea sana hesabu....yaani alivokuaga kakaa kimya ilikua bora sana....sasa tatizo akawasikiliza wapuuzi ambao wao waliongozwa na chuki ya mafanikio ya 3D,,akaingia mzima mzima akidhani wenye kumchukia rais ni wengi kuliko wampendao.....akajitia eti ze konyo konyo of the konyo hahaha.......watu wakamwambia wait a minute,do you mean to start a war with someone who's command in chief???? Kweli kabisa unataka pambana na rais kweli ambae ana jeshi kuanzia mgambo mpaka wanamaji??? Ndo akapigwa 3 bila mchana kweupeeeeee!!!! Kama ana akili its time aache kuwasikiliza wapuuzi afanye kazi kwa kujituma na wala asijiingize ktk mkumbo wao aseeeeee...

Lakini akiendelea kuwasikiliza wapuuzi ataendelea kuishia leaders wenzake ndo washaanza kuikamata Uganda(hakuna soko gumu kimuziki kama Uganda kwa east Africa maana wanathamini na kupenda vya kwao)

Ni hayoo tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…