Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Karibu tuwasikie wadau:
Huyu jamaa ameshawashitukia:

Views 901, 900 in two weeks!

Tisha sana.....halafu wanga hawana haya...wanaenda hadi Utube kucomment chuki zao...

Ila ndo basi tena nyota inang'aa hadi walio mbali wanaiona....
 
Last edited by a moderator:
Nimekuja wangu...yani nikiangaliaga video zake you tube nasomaga na comments....Aaaah Rais kawateka sana wakenya...wanamkubali sana....
Jamaa Kenya anatisha... kwanza angalia kile kiingilio cha show ya Mombasa... kiingilio cha chini kabisa ni KSH 2000... hii ni takribani sh.35,000/- za TZ!
 
Jamaa Kenya anatisha... kwanza angalia kile kiingilio cha show ya Mombasa... kiingilio cha chini kabisa ni KSH 2000... hii ni takribani sh.35,000/- za TZ!

Ndo hadhi yake....Siku zote Diamonds ni expensive.....
 
Maisha yana songa huyu jamaa hatari sana huwa hana time na vijineno neno vya mitaani.
 

Attachments

  • 1417855253552.jpg
    54.6 KB · Views: 185
Wadau nimeshuhudia ngoma mpya Waje kamshirikisha Diamond mtv base.

Ni hatari sana. Di ni habari nyingine aise.

Cc. Chinga One et.al
diamond ni heshima.
 
Last edited by a moderator:
Wadau nimeshuhudia ngoma mpya Waje kamshirikisha Diamond mtv base.

Ni hatari sana. Di ni habari nyingine aise.

Cc. Chinga One et.al
diamond ni heshima.
Ngoma kali sana ile... niliiangalia Youtube hadi bundle ikakata manake ilikuwa ni mwendo wa kuuchungulia kila wakati!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…