Uvuke kimataifa mara ngapi????
subiri matusi zaidi
kumbe bado kapanga sinza aisee jamaa angemiliki mjumba wake
ookey na vipi magari yake na rasilimali zingine...picha plz kama unazo
kumbe bado kapanga sinza aisee jamaa angemiliki mjumba wake
ookey na vipi magari yake na rasilimali zingine...picha plz kama unazo
Hahahaha mkuu unaua
Bado amepanga! Mambo yake siyajuwala sifuatilii zaidi ya kusoma ktk mtandao tu.
unajidanganya.. diamond bado sana.. nmeona davido ana follower zaidi ya milion dogo diamond ana follower hawazid laki mbili analeta kashfa mitandaoni.. mpuuzi.. kavuka boda km shilole tu nothing else
unajidanganya.. diamond bado sana.. nmeona davido ana follower zaidi ya milion dogo diamond ana follower hawazid laki mbili analeta kashfa mitandaoni.. mpuuzi.. kavuka boda km shilole tu nothing else
Aliye kwambia kujiita Bin laden ni kupromote ugaidi ni nani?[/QUOTE
Mkuu unataka jina au hojaa
Aliye kwambia kujiita Bin laden ni kupromote ugaidi ni nani?
Kwa hiyo akitokea mtu akamuita mwanae Elton atakuwa ana promote ushoga?
Kuna ugomvi na wa Nigeria lakini bado anajiita Chibu Dangote.
Lawyer wangu unaniangusha!!Perception ya watu dhidi ya magaidi ni tofauti dhidi ya ushoga,hususani katika jamii ya kimataifa!Leo hii Beyonce akijiita Black widow itakua balaa!Au lady Gaga ajiite white widow itamharibia trust me!
kumbe bado kapanga sinza aisee jamaa angemiliki mjumba wake
ookey na vipi magari yake na rasilimali zingine...picha plz kama unazo
Labda picha za pamba alizojaza kwenye kabati
Lawyer wangu unaniangusha!!Perception ya watu dhidi ya magaidi ni tofauti dhidi ya ushoga,hususani katika jamii ya kimataifa!Leo hii Beyonce akijiita Black widow itakua balaa!Au lady Gaga ajiite white widow itamharibia trust me!