Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

kuna mahali nimeona ume tibua hali ya hewa halafu ume kimbia.

Hahahahah mkuu ni kweli nimetibua kweli yule mjinga anaugomvi na mimi tangu wamefungua ile thread mkuu nilipigwa ban kwa ajiri yake Leo tena nimechezea rafuuuu.
..
 

hivi kuna uwezekano wa kulike thread mara milioni moja??
 
polisi jamii ntakuwa napita kuangalia watu wanaotaka kuichafua hii thread bora kabisa kuwahi tokea jamii forums
 


we mbwa unamtukana nani???
 
Hahahahahah mkuu hata mimi.jamaa.kama.mwanamke vile eti linajisifia kuwa umbeya rahaaa do ukistaajabu ya musa utaona ya warumi.....


Warumini mwanaume????lazima awe Gasho
 
hivi kuna uwezekano wa kulike thread mara milioni moja??

polisi jamii ntakuwa napita kuangalia watu wanaotaka kuichafua hii thread bora kabisa kuwahi tokea jamii forums

we mbwa unamtukana nani???

 
Last edited by a moderator:
frankly speaking mi nilikua najua warumi ni mdada kumbe ni wa kiume? ha ha ha.

Huu uzi umegeuka kuwa wa warumi tena sio diamond?? Ahahaha watu na nyota zetu bhana, endeleen kuongea maana mnazidi kunipa promo tu
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…