Mshamba tena mshamba aswaaaaaaaa ona
1.Producer aliyemtoa shimoni baada ya kujiona katoboa akamletea dharau wakagombna Bob Jr akatoa kinyongo juu ya bwa mdogo ila billionaire Chibu anaonekana Ana kinyongo nae mpka kesho
2; baaada ya kukimbia sharobaro Record akaenda kwa Lamar akagonga moyo wangu baada ya kutusua akaleta dharau wakagombna ila Lamar kasema Ana kinyongo nae tena
3;Baada ya kukimbia kwa Lamar akaenda kwa Maneck hapa sasa akataka kuigeuza studio ya kwake yaan kama kuna beat maneck kamtayarishia mtu mwengne yy Bin laden Mond akifika anaibeba na kwenda kuifanyia kazi bila ruhusa,
Akaingia oficn akumkuta Maneck yy akadilit mistar ya hitmaker of mwana dsm kwenye wimbo ambao arimshirikisha ,maneck akashindwa kuvumilia wakatimuana mpaka Leo wapo kwemye beef
3;baadae akakimbilia kwa sheed na Tudd kwa shed akatoa no 1 ikahit na akairmx na fupi nyundo la naija jamaa akaweza Ku make Chibu famous,kwa tudd akaachia Mdogomdogo
Tayar shedd keshalalamika kwann kwenye nitampata wapi video akuna jina la prodcr wa wimbo ?
4; issue ya Davido Daimond kakosea Sana kwanza mlishaambiwa "Tanzania to Lagos I go make u famous " sasa iliwauma nn davido kutweet ?
Mlitakiwa muichambue tweet kwa makini cjui nyie mnafikiria kwa kutumia makalio ?
5;kumdharau mtu aliyetoa ruhusa kwa Bob Jr amrekodie Diamond et "akitaka nimsaidie kollabo aje nitamsaidia "
Kama anajua kwann alifuta vocal zake ?