masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Hela mkuu na zikikatika huwaoni hata kukupa salam
Mkuu sio hela kivile.. Wanawake wa dizaini hiyo wanapenda fame na kuwa kwenye limelight kwa sana.. So wanapokuwa na msanii kama Diamond nao wanakuwa na wanafurahia kuwa kwenye spotlight.. Dame kama yule wa Uganda ana kisu cha kutosha tu lakini kwa diamond amefuata anapata publicity..
pesa inambadili mtu.....hao ma she hawakauki saluni utamfananisha na masai dada kutwa machungani?????
DIAMOND WADADA WANAMPENDA KWA MAWILI MAKUBWA
1.Fame
2.Money(hata kama hawaongi)
3. Nasikia pia anasimamia kucha...
yawezekana kweli maana ule wembamba nguvu zote zipo kwenye muhogo
afu eti sio mhogo ana hogo
afu eti sio mhogo ana hogo
Hao mademu wanaonekana wakali kwa sababu wana escrow tu. Bila hivyo ni wakawaida tu.
Ukiwa mwanaume rijari hakuna Mrembo utakaye onyeshwa WA uyo jamaa roho isilipuke kidogo.
Na usije kumlinganisha mpenzi wako uliyempata PM na warembo WA uyu jamaa wako utamuona kama mwanaume mwenzio.
Ukiacha WEMA,JOKATA na PENNY uyu ZARI naye ni balaa.
Ivi ni izi nyimbo au na HELA inausika?
Mwenye kujua atujuze!
Si ndo hapo! Huyu jamaa inaonekana kwenye issue ya mademu wakali ni zero.
TBS cjui unamaanisha nn? Kuwa mc tz ndo tbs? Na siti mtevu nae ana tbs?
Usijudge kitabu kwa cover. Unampima mwanamke physically na mentally. Waliokua na hivyo vimeo ndo wanavijua co tusisifie vitu kwasababu tunaviona kwenye screen kumbe hata ana kwa ana hujaonana nae.
Labda uniambie joket na zari nao wanawajua waliowahi kuwakamua. Wema nimewahi kumuona live kwenye onyesho moja, yupo so artificial. Mwili umeanza kubongonyoka anaukusanya kwa vibody tight, kwa umri alionao cdhan akifika 30 atakuaje! Yule ukikutana nae anatoka kuamka, demu wangu mkali hata hata mara kumi yake. Sema wanajiweka expensive ndo maana. Wao km domo tu kwakua wana pesa lkn ingekua kimtaan hawana lolote. Kuna watoto wakali jaman me namshangaa mleta mada au unajifungiaga ndani unangalia TV nn?
Zari alifanya hivyo ili amtumie Diamond ktk part yake bila malipo, na amefanikiwa, sasa kama Diamond ataingia penzini ndiyo hapo mtakapomuonea huruma, kwa wanawake hata kama ana milioni wewe una laki ataitamani laki yako au utalipa bill ya matumizi mkiwa nae.
3. Nasikia pia anasimamia kucha...
3. Nasikia pia anasimamia kucha...
Si ndo hapo! Huyu jamaa inaonekana kwenye issue ya mademu wakali ni zero.
TBS cjui unamaanisha nn? Kuwa mc tz ndo tbs? Na siti mtevu nae ana tbs?
Usijudge kitabu kwa cover. Unampima mwanamke physically na mentally. Waliokua na hivyo vimeo ndo wanavijua co tusisifie vitu kwasababu tunaviona kwenye screen kumbe hata ana kwa ana hujaonana nae.
Labda uniambie joket na zari nao wanawajua waliowahi kuwakamua. Wema nimewahi kumuona live kwenye onyesho moja, yupo so artificial. Mwili umeanza kubongonyoka anaukusanya kwa vibody tight, kwa umri alionao cdhan akifika 30 atakuaje! Yule ukikutana nae anatoka kuamka, demu wangu mkali hata hata mara kumi yake. Sema wanajiweka expensive ndo maana. Wao km domo tu kwakua wana pesa lkn ingekua kimtaan hawana lolote. Kuna watoto wakali jaman me namshangaa mleta mada au unajifungiaga ndani unangalia TV nn?