Si ndo hapo! Huyu jamaa inaonekana kwenye issue ya mademu wakali ni zero.
TBS cjui unamaanisha nn? Kuwa mc tz ndo tbs? Na siti mtevu nae ana tbs?
Usijudge kitabu kwa cover. Unampima mwanamke physically na mentally. Waliokua na hivyo vimeo ndo wanavijua co tusisifie vitu kwasababu tunaviona kwenye screen kumbe hata ana kwa ana hujaonana nae.
Labda uniambie joket na zari nao wanawajua waliowahi kuwakamua. Wema nimewahi kumuona live kwenye onyesho moja, yupo so artificial. Mwili umeanza kubongonyoka anaukusanya kwa vibody tight, kwa umri alionao cdhan akifika 30 atakuaje! Yule ukikutana nae anatoka kuamka, demu wangu mkali hata hata mara kumi yake. Sema wanajiweka expensive ndo maana. Wao km domo tu kwakua wana pesa lkn ingekua kimtaan hawana lolote. Kuna watoto wakali jaman me namshangaa mleta mada au unajifungiaga ndani unangalia TV nn?