Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

nampenda diamond ila haimaniishi namchukia kiba, sio kweli kuwa nyimbo za domo zinapendwa kwenye vigodoro.

Angalia amealikwa sehemu ngapi, ameshiriki tuzo ngapi na ameshirikiana na wanamziki wangapi.

Ina maana huko kote wanapenda vigodoro hadi aalikwe.

Napenda tuwe na kina diamond hata kumi ndani ya nchi yetu, ila kila mtu afanikiwe kwa juhudi zake sio kwa mgongo wa mwenzie na chuki binafsi.

Siku hizi mziki biashara na ndio anachofanya domo ndio maana skendo kwanza wimbo unafuata then show zinajipanga.

Mwacheni kiba atumie uwezo wake kuteka soko la mziki.

Mwacheni domo aitangaze tanzania kwa mziki wake mzuri wa kibiashara.

Kama shabiki wa diamond namshauri aanze mazoezi ya bend hata kama hana vyombo awe anakodi mara mojamoja baadae anakua mzoefu mbona fa aliwai kupiga na wananjenje.

Kiba aanze kufanya mziki wa biashara sio watu wanasifia halafu baadae wanaenda kulipa kiingilia 50000 kwa domo.

wameiona,,, ila watapita kimya kimyaaa.

Nice one.
 
Ndio maana nikionaga mtanange wako nakuaga sina hofu, najua star wa timu yupo uwanjani anaruka viunzi ngwara hadi vipepsi.

Nimependa.......nimekuona sasa umekomaa timu za mchangani hazikusumbui.

Nikiona mtanange wako najua tu kajambazi katasalenda tu.

Hhhhha si unaona kasalenda hhhhhhaa,hhhhhhhhaaaaa
 
Diamond anahitaji kutengeneza nyimbo zinazo husu maisha ya kawaida pia asiegemee sana kwenye mapenzi.ndio maana wajinga wengne wamemuona kama kazoeleka sana kwa kauchia maistar ya maenz tu..atunge nyimbo za maisha ya kawaida pia...he can do some thing in future

Hizo za mapenzi sie ndio tunazipenda,,,zingine tuwaachie waimbe kina Vicky Kamata
 
Pdidy njoo unielezeee kwa nini ulipigwa ban lakini ukawa na uwezo wa kuendelea kukoment,,njoo unipe maujanja
 
Last edited by a moderator:
Hizo za mapenzi sie ndio tunazipenda,,,zingine tuwaachie waimbe kina Vicky Kamata

Mswahili mnafki sana...
Hapo akiwa analala usiku anamtumia baby wake dedication "ukilala lala salama kumbatia picha yangu"

Sasa kama dai angeimba ukimwi sijui angemdediketia nn baby wake hahaha.....



Binadamu,mabomu gongo la mboto sijui nazo mapenzi????
 
Mswahili mnafki sana...
Hapo akiwa analala usiku anamtumia baby wake dedication "ukilala lala salama kumbatia picha yangu"

Sasa kama dai angeimba ukimwi sijui angemdediketia nn baby wake hahaha.....



Binadamu,mabomu gongo la mboto sijui nazo mapenzi????

Hahahaaa nimecheka jamani...au wakizamia kwenye harusi za watu ikipigwa ngololo wanacheza mpaka jashooo.....baada ya hapo hawampendi Diamond...
 
Currently there are six active threads about DIAMOND..,running at Celeb. Forum.

Wanapita kama hawaoni...
 
Hahahaaa nimecheka jamani...au wakizamia kwenye harusi za watu ikipigwa ngololo wanacheza mpaka jashooo.....baada ya hapo hawampendi Diamond...

Yaan achaa na lazima ipigweeee na lazima wachezee wakiwa kwenye keyboard ndo kazi kupondaa
 
My number one je!!! Afu hapa wanakausha.
Hahahahahaaa... Ubinadamu kazi.

Sanaaa ubinadamu kazi so kidogo....ila ndo tatizo LA watanzania huwa hatuthamini vya nyumbani....Sipati picha angekuwa mkenya huyu kila Mtu hapa angemfagilia....
 
Mswahili mnafki sana...
Hapo akiwa analala usiku anamtumia baby wake dedication "ukilala lala salama kumbatia picha yangu"

Sasa kama dai angeimba ukimwi sijui angemdediketia nn baby wake hahaha.....



Binadamu,mabomu gongo la mboto sijui nazo mapenzi????

Umeona eeeeeee wanafiki mno ndio tulivyo binaadamuu
Lakini hakunaga anaefikia level za dAimond
 
Umeona eeeeeee wanafiki mno ndio tulivyo binaadamuu
Lakini hakunaga anaefikia level za dAimond

Leo nlienda harusini mpiga tarumbeta full kupiga nyimbo za Diamond...kulinogaje sasaa...
 
Huyu anaehojiwa EATV hajui kiswahili niniii hhhhhaaaaa watu washakua wazungu hawajui kiswahiliiii
 
Back
Top Bottom