Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Matola vipi tena? Mie na hayo mambo wapi na wapi? Mie nimeuliza kuwa nimesikia walikuwepo na wengine mbona anatajwa mmoja tuu? Kosa langu liwapi hapo? Kazi ya huyo kijana hata mie naiona na nafurahishwa na juhudi zake ila nilitaka kujua hilo tuu.

Nimekuelewa vyema ila ukipingana nao wanakuita hater, Mzee Yusuf na Jahazi lake wana uwezo wa kujaza hiyo Dar live bila uwepo wa msanii mwingine.

Wanapenda umaarufu ila hawapendi kulipia gharama za umaarufu.
 

Attachments

  • 1419672390122.jpg
    1419672390122.jpg
    76.1 KB · Views: 306
Last edited by a moderator:
Kuna watu wana IQ ya chini sana ... mi roho inaniuma kuona mtanzania mwenzangu anasifia upuuzi na bado kuna wenzake wanamsupport....thread za kitoto zimejaa kibaoo JF now a days.....watu wengi tumekuwa wavivu wa fikra....

Kuna ushamba fulani imetawala vichwa vya baadhi watu humu, ukute mleta thread hata Dar Live hajawahi kufika, na anaungwa mkono na mtu anaishi Mwanza naye Dar Live haijui, huo ndo msingi wa haya matatizo.
Na wengine wameanza juzi tu kufuatilia huu muziki, zamani walikuwa busy na mchiriku/mnanda kwa hiyo hata wakati Juma Nature anajaza Diamond Jubilee kubwa wakati anazindua album ya ugali, kiasi kwamba hadi watu walizuiwa kuingia, wao walikuwa kwenye mikesha ya mchiriku.
Ninachoona mimi unachoandika kwenye thread ndio kinakutambulisha ulivyo na upeo wako unakoishia. Angalau uwe unatumia kutafakari kabla ya kupost kitu, vingine vinaweza kukushusha kabisa kama kilichotokea kwa mleta thread hii na wanaomuunga mkono.
Sasa kujaa Dar Live, tena kwa show ya sikukuu ya kidini nako unakufanya ni maajabu?! Lazima tukudharau.
Ova
 
Kuna ushamba fulani imetawala vichwa vya baadhi watu humu, ukute mleta thread hata Dar Live hajawahi kufika, na anaungwa mkono na mtu anaishi Mwanza naye Dar Live haijui, huo ndo msingi wa haya matatizo.
Na wengine wameanza juzi tu kufuatilia huu muziki, zamani walikuwa busy na mchiriku/mnanda kwa hiyo hata wakati Juma Nature anajaza Diamond Jubilee kubwa wakati anazindua album ya ugali, kiasi kwamba hadi watu walizuiwa kuingia, wao walikuwa kwenye mikesha ya mchiriku.
Ninachoona mimi unachoandika kwenye thread ndio kinakutambulisha ulivyo na upeo wako unakoishia. Angalau uwe unatumia kutafakari kabla ya kupost kitu, vingine vinaweza kukushusha kabisa kama kilichotokea kwa mleta thread hii na wanaomuunga mkono.
Sasa kujaa Dar Live, tena kwa show ya sikukuu ya kidini nako unakufanya ni maajabu?! Lazima tukudharau.
Ova

Mkuu ukiwepo uwa unakuwa mwalimu tosha na isitoshe kwa wale wa mikoani wakae wakijuwa uswahilini Dar anapofanya show mfalme Mzee Yusuf na Jahazi lake hata umlete Jay Zee wananchi hawakuelewi ni mwendo wa Alamba Alamba Alamba haaam haaam × 2

Fact hata anayempenda Diamond na ni mtoto wa mjini hawezi kufuata show ya Diamond Mbagala.

Sugu ni mchizi wangu lakini show yake ya mwisho mbagala nilimwambia wazi i will mis the show siwezi kwenda na ile foleni ya magari pale Zakhem ndio kabisa inaniongezea kichefuchefu.
 
day after day reasoning yako inazidi kushuka what z wrong kaka?

Ina maana hujaelewa au ni makusudi? Huoni kama hapo umaarufu ndio unazalisha story kama hiyo?

Atokee Wema Sepetu aseme Matola sina uwezo wa kuzaa unadhani hiyo ni habari? Who cares? Matola siyo public figure.
 
Mkuu ukiwepo uwa unakuwa mwalimu tosha na isitoshe kwa wale wa mikoani wakae wakijuwa uswahilini Dar anapofanya show mfalme Mzee Yusuf na Jahazi lake hata umlete Jay Zee wananchi hawakuelewi ni mwendo wa Alamba Alamba Alamba haaam haaam × 2

Fact hata anayempenda Diamond na ni mtoto wa mjini hawezi kufuata show ya Diamond Mbagala.

Sugu ni mchizi wangu lakini show yake ya mwisho mbagala nilimwambia wazi i will mis the show siwezi kwenda na ile foleni ya magari pale Zakhem ndio kabisa inaniongezea kichefuchefu.

Asante sana mkuu, eti kaukumbi kadogo vile then mtu anashangaa umejaa? Mzee Yusuf hajawahi kutojaza pale, na siku akipelewa mwanamuziki anayekubalika kikweli pale, halafu apandishwe pamoja na Mzee Yusuf katika sikukuu za kidini kama hii, basi pale ni lazima watakufa watu, maana pako finyu mno.
Nilishangaa niliposoma thread ya mtu kuona maajabu ya kujaa Dar Live, wakati Fella na wasanii wake wanaujaza bila hata sikukuu. Watu wana papara za kutoa sifa bila hata kufanya utafiti, mtu anakwepa hata orodha ya waliotumbuiza kwenye show ili tu akamilishe kutoa sifa zake. Ni kujiabisha tu.
Ova
 
Nimetulia tu hapa home saafi na family.. Nikaamua zicheza video mpya nilizozidownload mpya mpya.

Sasa nikaanza icheza ya DIAMOND - NTAMPATA WAPI...

Nikashaangaa sana , mwanangu 3 yrs now akapiga kelele , damondi, damondi., aisee.

Nikasema isiwe kesi nikaiplay na mwana ya ALLY.., nkamuuliza na huyu nani.,,

akajibu SIMJUI, SIMJUI, SIMJUIII...,

hahahaha.. NIMECHEKA SANA, AFU NIKAJIULIZA INA MAANA MWANANGU ANAAKILI KULIKO WATU WAZIMA.

AISEE.
 
pengine mwanao ana akili kizidi wewe maana yeye Ally Kiba lakini unamjua na umepakua nyimbo yake
 
Pole yenu mliokuwa wapenzi wa diamond maana naona mnazidi kupondwa tu na jamaa yenu!

Na Zari alivyo mthupuuu mbona mtakoma!!!
 
Nimetulia tu hapa home saafi na family.. Nikaamua zicheza video mpya nilizozidownload mpya mpya.

Sasa nikaanza icheza ya DIAMOND - NTAMPATA WAPI...

Nikashaangaa sana , mwanangu 3 yrs now akapiga kelele , damondi, damondi., aisee.

Nikasema isiwe kesi nikaiplay na mwana ya ALLY.., nkamuuliza na huyu nani.,,

akajibu SIMJUI, SIMJUI, SIMJUIII...,

hahahaha.. NIMECHEKA SANA, AFU NIKAJIULIZA INA MAANA MWANANGU ANAAKILI KULIKO WATU WAZIMA.

AISEE.

mwanao ni wa kiume au wa kike?
 
Back
Top Bottom